econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 23,351
- 35,245
Kimya?. Umeona msako ulivyo Saba Saba?. Kwenye kiwanja cha maonyesho?.Kimyaaaa wanajipongeza eti maandamano yamefanikiwa😂😂
Kimya?. Umeona msako ulivyo Saba Saba?. Kwenye kiwanja cha maonyesho?.Kimyaaaa wanajipongeza eti maandamano yamefanikiwa😂😂
Punguza maswali njoo frontNani anaye ua hao vijana wadogo?
Usiwe muongo... Maandamano yaliitishwa na yamefanyika kikamilifu... Mitaa imeshuhudia vyombo vya ulinZi vikiandamana.Katika maeneo yangu hali ni shwari kabisa akina mama wananunua samaki wa kukaanga kwa ajili ya kwenda kula na familia zao kwa kweli ni amani kama ilivyozoeleka kwa Watanzania wanavyosifika hadi nje ya mipaka ya nchi
Swali vibaraka wa Mabeberu akina Maria Sarungi wanajisikiaje mda huu? Aibu wataona wao. Watanzania wamechagua Amani Na vyombo vya ulinzi na Usalama viko imara sana kukabiliana na uhalifu wowote.
waTanzania wamekataa kubebwa ufala wa kifikra na vibaraka wa mabwenyenye ya magharibi waliojificha ndani ya chadema 🐒Katika maeneo yangu hali ni shwari kabisa akina mama wananunua samaki wa kukaanga kwa ajili ya kwenda kula na familia zao kwa kweli ni amani kama ilivyozoeleka kwa Watanzania wanavyosifika hadi nje ya mipaka ya nchi
Swali vibaraka wa Mabeberu akina Maria Sarungi wanajisikiaje mda huu? Aibu wataona wao. Watanzania wamechagua Amani Na vyombo vya ulinzi na Usalama viko imara sana kukabiliana na uhalifu wowote.
Endeleeni hivyo hivyo mpk 2030 Samia ataondoka mwenyeweLeo hapakuwa na ratiba yoyote ya maandamano, wahuni waliamua kuwalaza macho wazi, tunajua maviongozi ya tanzagiza ni mambumbumbu, yanapelekeshwa hadi na watoto wadogo wa primary school, na keshokutwa 88 laleni nje tena, samia naambiwa kakimbia nchi🙄
Katika maeneo yangu hali ni shwari kabisa akina mama wananunua samaki wa kukaanga kwa ajili ya kwenda kula na familia zao kwa kweli ni amani kama ilivyozoeleka kwa Watanzania wanavyosifika hadi nje ya mipaka ya nchi
Swali vibaraka wa Mabeberu akina Maria Sarungi wanajisikiaje mda huu? Aibu wataona wao. Watanzania wamechagua Amani Na vyombo vya ulinzi na Usalama viko imara sana kukabiliana na uhalifu wowote.
Ukweli ni kwamba amani na utulivu wa nchi yetu ni vitu vya thamani sana ambavyo Watanzania tunavilinda kwa dhati. Ni jambo la kusikitisha kuona kuna watu wanaofurahia au kushangilia kila tukio baya au changamoto inayotokea serikalini kwa maslahi ya kisiasa. Tabia hii ya kutafuta umaarufu kupitia mabaya haina tija, na ni vyema wakakumbuka kuwa kila jambo lina mwisho wake—muda wa propaganda na ushangiliaji wa chuki huwa una kikomo chake, lakini utulivu wa taifa letu utabaki daimaKatika maeneo yangu hali ni shwari kabisa akina mama wananunua samaki wa kukaanga kwa ajili ya kwenda kula na familia zao kwa kweli ni amani kama ilivyozoeleka kwa Watanzania wanavyosifika hadi nje ya mipaka ya nchi
Swali vibaraka wa Mabeberu akina Maria Sarungi wanajisikiaje mda huu? Aibu wataona wao. Watanzania wamechagua Amani Na vyombo vya ulinzi na Usalama viko imara sana kukabiliana na uhalifu wowote.
Wewe tuvie kwann hujaandamana mkuuKimya?. Umeona msako ulivyo Saba Saba?. Kwenye kiwanja cha maonyesho?.
Unajifariji kipumbavu sana! Sasa hayo maonyesho ya 77 mliandalia nzi? Kama maana yako ya sikukuu watu kukaa nyumbani inamake sense! Uchawa usio maana ni upumbavu!Leo Public Holiday imezoeleka watu kupumzika majumbani labda uniambie kesho
Mi mbona nimetoka 7-7 na Familia yangu mida hii? Nyinyi wahuni wa CHADEMA ndiiyo mmefyata mikiaUnajifariji kipumbavu sana! Sasa hayo maonyesho ya 77 mliandalia nzi? Kama maana yako ya sikukuu watu kukaa nyumbani inamake sense! Uchawa usio maana ni upumbavu!
Labda 7-7 ya kiboroloni. Ndio maana unahorojeka uharo wa shibe ya kitimoto hapa.Mi mbona nimetoka 7-7 na Familia yangu mida hii?
Siongei na wapumbavu , kwa nchi waona ipo sawa ,pumbavu sanaMmekaa mkiamini GEN Z waandamane kwa ajili yenu huku nyie na watoto mmejifungia ndani
Ukitaka mabadiliko toka hapo nyumbani na bango ingia barabaran very simple
Hizo story za GEN Z ni upumbavu sana.
Ila mzee hili sio la kushangilia ushindi bali wenye akili wakaa na kutafakar nchi inaenda wap!! Tanzania inayojaa majeshi barabaran kisa maandamano, hii sio picha nzur kama Taifa 📌Katika maeneo yangu hali ni shwari kabisa akina mama wananunua samaki wa kukaanga kwa ajili ya kwenda kula na familia zao kwa kweli ni amani kama ilivyozoeleka kwa Watanzania wanavyosifika hadi nje ya mipaka ya nchi
Swali vibaraka wa Mabeberu akina Maria Sarungi wanajisikiaje mda huu? Aibu wataona wao. Watanzania wamechagua Amani Na vyombo vya ulinzi na Usalama viko imara sana kukabiliana na uhalifu wowote.
Picha nzuri ni ya kuharibu na kuchoma mali za watu?Ila mzee hili sio la kushangilia ushindi bali wenye akili wakaa na kutafakar nchi inaenda wap!! Tanzania inayojaa majeshi barabaran kisa maandamano, hii sio picha nzur kama Taifa 📌
By suguLeo Public Holiday imezoeleka watu kupumzika majumbani labda uniambie kesho