Troll JF
Platinum Member
- Feb 6, 2015
- 9,894
- 14,480
Katika maeneo yangu hali ni shwari kabisa akina mama wananunua samaki wa kukaanga kwa ajili ya kwenda kula na familia zao kwa kweli ni amani kama ilivyozoeleka kwa Watanzania wanavyosifika hadi nje ya mipaka ya nchi
Swali vibaraka wa Mabeberu akina Maria Sarungi wanajisikiaje mda huu? Aibu wataona wao. Watanzania wamechagua Amani Na vyombo vya ulinzi na Usalama viko imara sana kukabiliana na uhalifu wowote.
Swali vibaraka wa Mabeberu akina Maria Sarungi wanajisikiaje mda huu? Aibu wataona wao. Watanzania wamechagua Amani Na vyombo vya ulinzi na Usalama viko imara sana kukabiliana na uhalifu wowote.