Hivi hii jinsia ya kiume imepatwa na nini,Maana Mada zao kwa sasa ni za kijinga.Ulivyo fala upo hapa unamnadi mkeo
Kusimamisha mitaa si mpaka mitako iliyotepeta ni uzuri asilia tu mfano ni jokate
Kabisa.Eeeeeh?
Hivi hii jinsia ya kiume imepatwa na nini,Maana Mada zao kwa sasa ni za kijinga.
Mapenzi yenyewe tuu kiujumla ni ujinga na aibu.Tendo linalofanywa ufichoni ni aibu,lakini pia ujinga huwepo.Kilichoandikwa ndicho kilichopo kwenye mahusiano.Ujinga au sio ujinga ni mtazamo wa mtu.Hivi hii jinsia ya kiume imepatwa na nini,Maana Mada zao kwa sasa ni za kijinga.
Hili ni jukwaa la mahusiano, mapenzi na urafiki.Unafikiri pataongelewa siasa,au dini hapa?.Hapo yanajadiliwa mambo ya mahusiano yenye aibu na ujinga ndani yake.Hakuna busara kwenye mapenzi,kwa kuwa hufanyika tendo la aibu.Ni aibu kwakweli aina ya wanaume tulionao nchini
Hili ni jukwaa la mahusiano, mapenzi na urafiki.Unafikiri pataongelewa siasa,au dini hapa?.Hapo yanajadiliwa mambo ya mahusiano yenye aibu na ujinga ndani yake.Hakuna busara kwenye mapenzi,kwa kuwa hufanyika tendo la aibu.
Umejiona ulivyo poyoyo!!!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Hapana kiongozi.
Umetumia njia gani kuyalainisha?Kusimamisha mtaa,ni kauli yenye mbwembwe tuu.Lengo hapa ni wanaume kuweza kujivunia wapenzi au wake zetu kwani tunaweza wafanya nao wakawa na maumbo mazuri au makalio mazuri tuu.
Duuh.
Hii mada inahusu nini naona mapovu tu