Hakuna mwaarobaini wa CCM

Emc2

JF-Expert Member
Sep 26, 2011
16,808
16,836
Nimejitahidi sana kufuatilia mijadara mbalimbali ya Bunge nimegundua vyama vya upinzani bado vichanga havijakomaa.
mfano CHADEMA wamekaa kupiga kelele tu.
Kwenye budget wanaongea tu bila hata kuchambua. wamejikita sana kwenye uwanaharakati sio katika utalaamu. Naona wameoata kidogo na wamelewa madaraka.
No way hakuna chama kilicho komaa mpaka sasa cha kusimama na kuongoza nchi. kumbe CCM angalau.
 
Kweli kabisa mfano leo jioni Nchemba na Komba wamechambua bajeti vizuri sana.
 
Nimejitahidi sana kufuatilia mijadara mbalimbali ya Bunge nimegundua vyama vya upinzani bado vichanga havijakomaa.
mfano CHADEMA wamekaa kupiga kelele tu.
Kwenye budget wanaongea tu bila hata kuchambua. wamejikita sana kwenye uwanaharakati sio katika utalaamu. Naona wameoata kidogo na wamelewa madaraka.
No way hakuna chama kilicho komaa mpaka sasa cha kusimama na kuongoza nchi. kumbe CCM angalau.

CCM wao huwa wanaongea na kuchambua mangapi na kwenye nyanja ipi hasa??

Hiyo 'NDIYO' wanayoitoa kwa kila lisemwalo ndo fahari???
Ni bora wakae tu majumbani........maanake hata mtoto wa chekechea anajua kutamka ndiyooooo!!!! Unless otherwise useme kwamba wapo pale kwa ajili ya kuimbia posho .....
 
CCM wao huwa wanaongea na kuchambua mangapi na kwenye nyanja ipi hasa??

Hiyo 'NDIYO' wanayoitoa kwa kila lisemwalo ndo fahari???
Ni bora wakae tu majumbani........maanake hata mtoto wa chekechea anajua kutamka ndiyooooo!!!! Unless otherwise useme kwamba wapo pale kwa ajili ya kuimbia posho .....

Hivi wewe umeangalia mjadala wa budget au kwa sababu tu huipendi CCM?
Wamechambua kitu chochote na kutoa mawazo yao? kama chama kikuu cha upinzani wamesema nini sasa leo?
Nahisi kama wewe ni mzarendo wa nchi huwezi kuvumilia hiki cha wabunge wa chadema labda tu uwe mshabiki.
Tunataka kujenga nchi.
 
Nimejitahidi sana kufuatilia mijadara mbalimbali ya Bunge nimegundua vyama vya upinzani bado vichanga havijakomaa.
mfano CHADEMA wamekaa kupiga kelele tu.
Kwenye budget wanaongea tu bila hata kuchambua. wamejikita sana kwenye uwanaharakati sio katika utalaamu. Naona wameoata kidogo na wamelewa madaraka.
No way hakuna chama kilicho komaa mpaka sasa cha kusimama na kuongoza nchi. kumbe CCM angalau.

Kweli kabisa mfano leo jioni Nchemba na Komba wamechambua bajeti vizuri sana.

hahahaaa katavi mkorofi sana, mwenzako Annael KAJITAHIDI SANA kufatilia MIJADARA, afu we unamjibu kirahisirahisi tu? unamaanisha nini sasa kwamba kama kajitahidi sana afu hajaona hiyo inawezekana.......ngoja nisimalizie maana kina invisible wakali sana siku hizi
 
Annael nadhani wabunge wachadema walikuwa na point nzuri tu mfano David Silinde,na hata Tundu Lissu ,ila kwa Lissu apunguze tu hasira japo najua kuna mambo yanaudhi kwenye hii serikali sikivu.Ningemuomba tu Mh.Lissu apunguze hasira na jazba kwani zinapunguza umakini wa point zake basi.Vinginevyo hata wabunge waccm pia hawakutumia busara kwa kutumia lugha ya matusi mwisho wa siku wamejikuta wamepwaya kwenye point.Chamsingi uvumilivu tu.
 
CHAMA LEGELEGE HUZAA SERIKALI LEGELEGE=NYERERE.
SASA MBONA MNATOKWA NA MAPOVU WAKATI MECHI HAIJAANZA POSHO UNAYOPEWA NA NAPE HAITAWARUDISHA IKULU 2015
:plane: BYE CCM RIP
 
Wamechambua kitu chochote na kutoa mawazo yao? kama chama kikuu cha upinzani wamesema nini sasa leo?
Ulikuwa wapi wakati tumewekewa hapa bajeti aliyoisoma Zitto. Imegusa mambo yote. Ni sehemu gani unaona haijitoshelezi au not doable
 
hahahaaa katavi mkorofi sana, mwenzako Annael KAJITAHIDI SANA kufatilia MIJADARA, afu we unamjibu kirahisirahisi tu? unamaanisha nini sasa kwamba kama kajitahidi sana afu hajaona hiyo inawezekana.......ngoja nisimalizie maana kina invisible wakali sana siku hizi
Ha ha haaah!! Nimemjibu hivyo kwa sababu namuogopa Invisible.
 
Nimejitahidi sana kufuatilia mijadara mbalimbali ya Bunge nimegundua vyama vya upinzani bado vichanga havijakomaa.
mfano CHADEMA wamekaa kupiga kelele tu.
Kwenye budget wanaongea tu bila hata kuchambua. wamejikita sana kwenye uwanaharakati sio katika utalaamu. Naona wameoata kidogo na wamelewa madaraka.
No way hakuna chama kilicho komaa mpaka sasa cha kusimama na kuongoza nchi. kumbe CCM angalau.
Huna lolote wewe unajaza server na thread zako ambazo hazina Mshiko
 
Anna najua haujakunwa siku nyingi,nenda jukwaa la mahusiano ukatafute mume huko,naona watutafutia ban bure,watu wengine sijui waremavu wa akili!
 
Huna tofauti na hayo madai yako hoja zako nyepesi sana, Uchambuzi kwenu siunafanywa na Kina Wassira,Lusinde,Komba,Simbachawene,Mwigulu na Mama Kilango bila kumsahau Maji marefu.Kumbe siyo wabunge na viongozi wenu ugonjwa huu umekwenda mpaka kwenu wakereketwa.
 
Nimejitahidi sana kufuatilia mijadara mbalimbali ya Bunge nimegundua vyama vya upinzani bado vichanga havijakomaa.
mfano CHADEMA wamekaa kupiga kelele tu.
Kwenye budget wanaongea tu bila hata kuchambua. wamejikita sana kwenye uwanaharakati sio katika utalaamu. Naona wameoata kidogo na wamelewa madaraka.
No way hakuna chama kilicho komaa mpaka sasa cha kusimama na kuongoza nchi. kumbe CCM angalau.

I like your signature. it depicts your character. 'MTU MPUMBAVU HATA UKIMTWANGA KWENYE KINU PAMOJA NA NGANO UPUMBAVU WAKE HAUMTOKI'
 
Nimejitahidi sana kufuatilia mijadara mbalimbali ya Bunge nimegundua vyama vya upinzani bado vichanga havijakomaa.
mfano CHADEMA wamekaa kupiga kelele tu.
Kwenye budget wanaongea tu bila hata kuchambua. wamejikita sana kwenye uwanaharakati sio katika utalaamu. Naona wameoata kidogo na wamelewa madaraka.
No way hakuna chama kilicho komaa mpaka sasa cha kusimama na kuongoza nchi. kumbe CCM angalau.

Mimi nashangaa sana kuwaponda watu wasio na madaraka kwamba budget yao haina mashiko. CHADEMA hawana wataalamu wa uchumi, mawazo yao ni lazima yawe ya ujumla na ya kisiasa sana. CCM wana kila kitu lakini tuna jiuliza pamoja na wataalamu wote walio nao hii ndiyo budget ya kuiweka mezani kweli kweli? Kuna shida kubwa.

Mwarobaini wa CCM upo ni CDM tu wapeni madaraka, wakae na wataalamu, na nyenzo wafanye kazi.
 
Nimejitahidi sana kufuatilia mijadara mbalimbali ya Bunge nimegundua vyama vya upinzani bado vichanga havijakomaa.
mfano CHADEMA wamekaa kupiga kelele tu.
Kwenye budget wanaongea tu bila hata kuchambua. wamejikita sana kwenye uwanaharakati sio katika utalaamu. Naona wameoata kidogo na wamelewa madaraka.
No way hakuna chama kilicho komaa mpaka sasa cha kusimama na kuongoza nchi. kumbe CCM angalau.
533386_363153757085376_712105941_n.jpg
 
Mimi nashangaa sana kuwaponda watu wasio na madaraka kwamba budget yao haina mashiko. CHADEMA hawana wataalamu wa uchumi, mawazo yao ni lazima yawe ya ujumla na ya kisiasa sana. CCM wana kila kitu lakini tuna jiuliza pamoja na wataalamu wote walio nao hii ndiyo budget ya kuiweka mezani kweli kweli? Kuna shida kubwa.

Mwarobaini wa CCM upo ni CDM tu wapeni madaraka, wakae na wataalamu, na nyenzo wafanye kazi.

Tayari sasa hivi kuna mgogoro mkumbwa kwenye CHADEMA wewe huelewi tu. Kunawatu kama akina Slaa wametolewa ubunge ili wazimwe. Na history ya Slaa ndio inapotea hivyo na wenye chama watabaki wewe subiri utaona.
 
Back
Top Bottom