Emc2
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 16,808
- 16,836
Nimejitahidi sana kufuatilia mijadara mbalimbali ya Bunge nimegundua vyama vya upinzani bado vichanga havijakomaa.
mfano CHADEMA wamekaa kupiga kelele tu.
Kwenye budget wanaongea tu bila hata kuchambua. wamejikita sana kwenye uwanaharakati sio katika utalaamu. Naona wameoata kidogo na wamelewa madaraka.
No way hakuna chama kilicho komaa mpaka sasa cha kusimama na kuongoza nchi. kumbe CCM angalau.
mfano CHADEMA wamekaa kupiga kelele tu.
Kwenye budget wanaongea tu bila hata kuchambua. wamejikita sana kwenye uwanaharakati sio katika utalaamu. Naona wameoata kidogo na wamelewa madaraka.
No way hakuna chama kilicho komaa mpaka sasa cha kusimama na kuongoza nchi. kumbe CCM angalau.