Hakuna mtu mkamilifu

Hakuna mtu mkamilifu

Daudi Kempu

Member
Joined
Dec 6, 2024
Posts
38
Reaction score
65
Sisi sote hufanya makosa,
Tunasema vibaya,
Tunafanya vibaya,
Tunaanguka,tunainuka
Tunajifunza,tunakua
Tunasongambele tunaishi,
Tunamshukuru MUNGU kwa kutupa nafasi nyingne daima, tujifunze kusamehe
 
Back
Top Bottom