jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 35,053
- 28,245
Mheshimiwa Rais na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Dr.John Pombe Magufuli fungua begi jipya la mikasi na visu vya kutumbua majipu yaliyokuwa makalioni mwa chama...wenyewe watasema yana harufu na wataalamu wanasema yanachukua muda kupona baada ya kutumbuliwa...lakini hakuna tiba nyingine zaidi ya kuyatumbua hata kama harufu ni mbaya basi agiza mask,gloves ndefu na aprons ili uweze kuyatumbua kisawasawa.
Mabadiliko yanahitaji mbadilishaji asiyesita wala kubabaishwa !!
Viva JPM...SONGA MBELE
NIPO KIJIJINI KWEDIKWAZU NAKULA MADAFU!
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Mabadiliko yanahitaji mbadilishaji asiyesita wala kubabaishwa !!
Viva JPM...SONGA MBELE
NIPO KIJIJINI KWEDIKWAZU NAKULA MADAFU!
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!