Mbona wachafu wote bado wapo nani kaondoka viva miaka 50 ya uchafuMheshimiwa Rais na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Dr.John Pombe Magufuli fungua begi jipya la mikasi na visu vya kutumbua majipu yaliyokuwa makalioni mwa chama...wenyewe watasema yana harufu na wataalamu wanasema yanachukua muda kupona baada ya kutumbuliwa...lakini hakuna tiba nyingine zaidi ya kuyatumbua hata kama harufu ni mbaya basi agiza mask,gloves ndefu na aprons ili uweze kuyatumbua kisawasawa.
Mabadiliko yanahitaji mbadilishaji asiyesita wala kubabaishwa !!
Viva JPM...SONGA MBELE
NIPO KIJIJINI KWEDIKWAZU NAKULA MADAFU!
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Nhie ndio mafisafi.. tutaitaka chadema.Mheshimiwa Rais na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Dr.John Pombe Magufuli fungua begi jipya la mikasi na visu vya kutumbua majipu yaliyokuwa makalioni mwa chama...wenyewe watasema yana harufu na wataalamu wanasema yanachukua muda kupona baada ya kutumbuliwa...lakini hakuna tiba nyingine zaidi ya kuyatumbua hata kama harufu ni mbaya basi agiza mask,gloves ndefu na aprons ili uweze kuyatumbua kisawasawa.
Mabadiliko yanahitaji mbadilishaji asiyesita wala kubabaishwa !!
Viva JPM...SONGA MBELE
NIPO KIJIJINI KWEDIKWAZU NAKULA MADAFU!
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Mheshimiwa Rais na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Dr.John Pombe Magufuli fungua begi jipya la mikasi na visu vya kutumbua majipu yaliyokuwa makalioni mwa chama...wenyewe watasema yana harufu na wataalamu wanasema yanachukua muda kupona baada ya kutumbuliwa...lakini hakuna tiba nyingine zaidi ya kuyatumbua hata kama harufu ni mbaya basi agiza mask,gloves ndefu na aprons ili uweze kuyatumbua kisawasawa.
Mabadiliko yanahitaji mbadilishaji asiyesita wala kubabaishwa !!
Viva JPM...SONGA MBELE
NIPO KIJIJINI KWEDIKWAZU NAKULA MADAFU!
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Wanyonge ni kina nani?? Au ni kina musiba na genge lake le mutumboz na bashite??Walioshika buku saba wamekimbia tupo sisi tuliosimama na wanyonge wa nchi hii
Nazidi kusisitiza, hili swali linahitaji jibu solid bila kumung'unya maneno.CCM ipi? Iliyolala mbele na 1.5t?
hicho chama wamejaa vilaza ndio maana mwenykit wao anafanya usajili hadi wachezaji wa nje ili kukidhi mahitaji.chawene alitumbuliwa naona karudi tena bila maelezo.
wenda kuna shortage ya manpower ccm
. 😂😂😂 Siasa bhana.....Mheshimiwa Rais na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Dr.John Pombe Magufuli fungua begi jipya la mikasi na visu vya kutumbua majipu yaliyokuwa makalioni mwa chama...
Amepora Korosho za wakulima huko kusini hii ni aibu kubwa kwa serikali ya hovyo ya kichaa.Mheshimiwa Rais na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Dr.John Pombe Magufuli fungua begi jipya la mikasi na visu vya kutumbua majipu yaliyokuwa makalioni mwa chama...wenyewe watasema yana harufu na wataalamu wanasema yanachukua muda kupona baada ya kutumbuliwa...lakini hakuna tiba nyingine zaidi ya kuyatumbua hata kama harufu ni mbaya basi agiza mask,gloves ndefu na aprons ili uweze kuyatumbua kisawasawa.
Mabadiliko yanahitaji mbadilishaji asiyesita wala kubabaishwa !!
Viva JPM...SONGA MBELE
NIPO KIJIJINI KWEDIKWAZU NAKULA MADAFU!
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Hakuna anayetamani CCM inayonuka damuMheshimiwa Rais na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Dr.John Pombe Magufuli fungua begi jipya la mikasi na visu vya kutumbua majipu yaliyokuwa makalioni mwa chama...wenyewe watasema yana harufu na wataalamu wanasema yanachukua muda kupona baada ya kutumbuliwa...lakini hakuna tiba nyingine zaidi ya kuyatumbua hata kama harufu ni mbaya basi agiza mask,gloves ndefu na aprons ili uweze kuyatumbua kisawasawa.
Mabadiliko yanahitaji mbadilishaji asiyesita wala kubabaishwa !!
Viva JPM...SONGA MBELE
NIPO KIJIJINI KWEDIKWAZU NAKULA MADAFU!
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Huna vigezo vya kuteuliwa kwa vile wewe ni jingalao.Sipo hapa kwa kuteuliwa !
Hata wale waliojiondoa wamepigiwa magoti kurudi kundini.Mbona wachafu wote bado wapo nani kaondoka viva miaka 50 ya uchafu