- Thread starter
- #21
Nimemuona Mbunge wangu Mtarajiwa wa Iramba hapa, ngoja labda anaweza kutupa majibu:
There are currently 36 users browsing this thread. (13 members and 23 guests)
Dr Kitila hana mpinzani Iramba.
Nimemuona Mbunge wangu Mtarajiwa wa Iramba hapa, ngoja labda anaweza kutupa majibu:
There are currently 36 users browsing this thread. (13 members and 23 guests)
Habari zilizosambazwa hapa JF kwamba kuna sintofahamu kati ya CDM na ITV si za kweli na katika kudhihirisha hilo leo asubuhi habari ya Kiongozi mkuu wa upinzani nchini Dr Wilbroad Slaa kwenda polisi na kugoma kutoa maelezo imepewa uzito mkubwa kwenye taarifa yake ya habari.Kiongozi huyo mbali ya kupewa muda mrefu lakini pia ITV imeonyesha kundi kubwa la wafuasi wa CDM likimshangilia Dr Slaa na kusukuma gari lake.Pia ITV jana usiku ilionyesha kwa muda wa kutosha hotuba ya Waziri Kivuli wa sheria Tundu Lissu bungeni.
Source:Habari za ITV
Hivi Chadema kuna wasemaji wa chama wangapi ninayemjua mie ni Tumaini Makene, ambaye alichukuwa nafasi ya Marehemu Regia, saizi kuna mpya anaitwa Molemo.
Hivi Chadema kuna wasemaji wa chama wangapi ninayemjua mie ni Tumaini Makene, ambaye alichukuwa nafasi ya Marehemu Regia, saizi kuna mpya anaitwa Molemo.
Mwigulu LM Nchemba is a One Term Member of Parliament (OTMP)!
Ndani ya CHADEMA kuna msemaje rasmi wa chama. Wanachama wengine ni wasemaje wasio rasmi. Hatuna haja ya kusubiri hadi Sekretarieti ikae (Au msemaje aje) na kutoa msimamo wa chama kwa mambo madogo madogo! Kule kwenu naona mmemwachia Nnauye Jr ona sasa hadi ameingia hadi kwenye Ofisi ya Katibu Mkuu wake (Mukama)!
TUMBIRI (PhD, University of HULL - United Kingdom),
tumbiri@jamiiforums.com
Na ndio maana amechanganyikiwa anaongea upuuzi mtupu bungeni kama kina Lusinde.
Rafiki mambo vipi.
Acha hizo bana.Kamanda yeyote akipata habari anazimwaga jamvini kwa maslahi ya watanzania wote.Haiwezekani kila kitu kumsubiri Tumaini Makene.Hii JF ni ya wote mkuu.Hii sio mali ya Makene wala CDM pekee.Mimi kama raia huru nina haki ya kuleta taarifa nikizipata.Jumamosi njema rafiki.
Kwani anatofauti gani na Lusinde? BOTH ARE BIRDS WITH THE SAME FEATHERS!
Ni wewe pekee yako,hao wengine wanakusidia tu.Hivi Chadema kuna wasemaji wa chama wangapi ninayemjua mie ni Tumaini Makene, ambaye alichukuwa nafasi ya Marehemu Regia, saizi kuna mpya anaitwa Molemo.
Mkuu Molemo.
Nashukuru kwa taarifa, kwani niliuzunika sana niliposikia ITV 'wamefanya' mambo ya ajabu, nikajiuliza sasa nitaangalia station ipi?
Nimesikia kuna mkutano mkubwa wa M4C Iramba. Nipe ratiba mkuu.