Pia mbunge akichaguliwa kuna kuwa hakuna mbunge mwinge aliyeko anatumiakia ubungee Maana binge linakuwa limeshavunjwa. Wakati upande wa uraisi bado raisi anakuwa madarakani kipindi raisi mteule ametangazwa
Rejea kwenye uzi utaona kuna mahali nimesema "wanafunzi". Maswali kama haya huwaangusha wanafunzi hata walio vyuo vikuu.
Nyie ndo mnasababisha wanafunzi wafeli mitihani, tangu lini JF ikawa Mamlaka ya kutoa Rejea mashuleni ? Kama ni tafsiri ya maneo ya Kiswahili sitarajii kama JF ni Baraza la Kiswahili la Taifa (BAKITA) Je, mwanafunzi akifanya rejea ya neno kutoka Jf kwenye majibu ya mtihani ataandika kuwa source ni JF ? Aidha, hao wana JF watakakaotoa maana ya hilo neno, una uhakika gani ni ni sawa ? Acheni kuchangia kushusha kiwango cha elimu ya Tanzania.