Hakuna kitu kitamu duniani kama ku fall in love

Hakuna kitu kitamu duniani kama ku fall in love

MwanaSaikolojia

Senior Member
Joined
Jan 9, 2015
Posts
197
Reaction score
62
Amini usiamini ni feeling ya kipekee sana,utajiona kama unaishi katika sayari yako pekee yako na zungumzia true love. Wachache sana hubahatika kuipata, wengi hukumbana na matamanio ya kijinsia tu na mwisho siku wakishagegedana kila mmoja anatafuta njia ya kwao,sifa za true love;

1.Maisha yako yatakuwa ni ya furaha, hata shida zako hazina nguvu mbele love cause akili yako imetawaliwa na fikra za mpenzi wako tu mwingine atasema oh kama pesa huna basi huwezi kuwa nafuraha hata ukiwa na true love, nikwambie kitu. Love ilizaliwa mwanzo kuliko hela, love nzito sana kuliko hela wengi mtabisha hapa, ila sitowalaumu sababu najua wengi True Love mnaisikia ikitajwa tu wala hamjui ikoje.

2.True love ni pale tatizo la mwenza wako linakuumiza kichwa kuliko tatizo lako mwenywe.

3.True love ni pale mpenzi wako anakua ndo dunia yako,namaanisha hutojali dunia(walimwengu) inasema nn kuhusu yeye cause yeye ndio dunia yako.

4.True love ni feeling ambayo huwafanya kama mwili mmoja mmoja akiumwa na wewe maumivu unayapata huamini sio kosa lako.

5.True love ni pale upo tayar ksacrisfy kila kitu chako,mali yako,furaha yako hata maisha yako justa kwa ajili ya mwenzi wako.

Kwa wale ambao hamjawahi kupata true love ombeni Mungu one day na nyie muipate.
 
itatizo je upande wa pili ukoje? unaweza kuta ww una true love mwenzio kawaida sana matokeo yake anakuja kukumwaga!!! dunia unaona chungu mwishowe unajitundika...
 
Wengine ukiwaambia true love ni msamiati
 
its true,that true love is when you are married and you never cheat your fellow forever till you die,and this is accompanied by respecting each other as responsibilities requires as wife or child every one in the family with his/her position.

Duh. interesting
 
So you are saying true love is synonymous to "uzuzu" aka supa gadem mburulaz

credit to le baharia for "supa gadem mburulaz" part.
 
Aiseeeeh! Kwa dunia ya sasa nahisi ndani ya mwezi mmoja tu utakuwa ushadanja.
 
those with true love are already taken.....
 
Na hakuna kitamu zaidi kama Ku Grow in that LoVe, there is possibility of falling out in love if you fall in, there are minors chances of outgrowing LoVe if you grow in it.
 
Back
Top Bottom