Hakuna kitu kibaya kama yafuatayo

Hakuna kitu kibaya kama yafuatayo

Ramon Abbas

JF-Expert Member
Joined
May 4, 2021
Posts
1,961
Reaction score
3,921
Hakuna kitu kibaya kama

Kupoteza nauli usiku na kila unaemuomba msaada anakuona kama nnya😒😒😒

Kukosa msosi harusini pekeyako halafu unaona wenzio wanakula mapilau na mapaja ya vyuku😅😅

kukataliwa na mpenzi wako mbele ya kadamnasi siku mnafunga ndoa..😉😉😉

Unaunga bando lako freeeeshi ili umpigie mpenzi wako mara paap unaambiwa hapatikani...🤪🤪

𝐞𝐧𝐝𝐞𝐥𝐞𝐚 𝐡𝐚𝐩𝐨 𝐜𝐡𝐢𝐧𝐢
 
Kwenda kupiga kura wakati kuna chama ambacho hakitegemei kura ya mtu katika kushinda uchaguzi.
7nbv654311.jpg
 
...Kukoswa akili na maarifa
...kukua umri ila akili ikabakia ya kitoto
....kumaliza chuo ukaenda kuangaliana na mzazi home.
 
Back
Top Bottom