Hakuna kitu kama Kabila Tanzania!

Hakuna kitu kama Kabila Tanzania!

Kijakazi

Platinum Member
Joined
Jun 26, 2007
Posts
9,242
Reaction score
14,885
Najua wengi mtatokwa na povu kwa hili, lkn ndio ukweli wenyewe ktk Tanzania hakuna kitu kama Kabila, hayo ambayo nyie mnayaita Makabila yaligunduliwa nakutungwa Wazungu au wageni wengine kama Waarabu, kabla ya hapo kulikuwa hakuna kitu kama Wanyamwezi, Wasukuma, Wachaga wala Wagogo n.k

Nitawaeleza kwa nini kwa mfano hao ambao leo hii tunawaita Wanyamwezi ni neno ambalo lilitungwa na Watu wa kutoka Pwani wakati wa Biashara ya Makaravani kubeba Pembe za ndovu kupeleka Pwani ya AM watu wa eneo hili la Tabora (leo hii) ambao walikuwa ni mchanganyiko wa watu kutoka maeneo mbali mbali na wenye lugha mbali mbali wakaanza kujiita wanyamwezi yaani watu kutoka mwezini jina ambalo walipewa na watu Pwani kutokana na uhodari wao wa kazi ya kubeba mizigo mizito ili waweze kupata kazi kwa wakati huo kazi ya kubeba mizigo ya Pembe za ndovu ilikuwa inalipa na ndio maana mpaka leo kuna msemo Mzigo mzito mwachie mnyamwezi... ukija kwa Wasukuma hakuna kitu kama Kabila la Wasukuma, wasukuma linatokana na neno sukuma yaani watu wa kutoka Kaskazini sasa ni kina hao wanaweza kuwa watusi wanaweza kuwa wahangaza n.k

Ukija kwa watu ambao leo hii wanajiita Wagogo, hilo neno lilitungwa na wakati wa biashara ya makaravani, hivyo watu wanaoishi hilo eneo wakaitwa Wagogo kutokana na magogo yaliyokuwa yamejaa hilo eneo...

Ukija kwa hawa tunaowaita Wachaga kwa kifupi hakuna kitu kama Kabila la wachaga, hili neno walibatizwa na Wazungu (Wajerumani) na ndio maana hakuna kitu kama Lugha ya kichaga nikimaanisha kwamba kwa mfano Mtu anayetoka Marangu hawezi kuelewana na mtu anayetoka Rombo au mtu wa Kibosho hawezi kuelewana na mtu wa Machame kwanza kwa Mfano watu wa Machame kama akina Bw.Mbowe na watu wa Meru kama akina Bw.Slaa wanasilikilazana lkn Bw.Slaa (mMmeru) hahesabiki kama ni Mchaga yaani kwa maana nyingine Mmeru yuko karibu zaidi na Mmachame kuliko alivyo karibu na MMarangu sasa je kwa nini Mmeru asiitwe Mchaga au Mmachame asiitwe Mmeru?

Ukija kwa Wahaya ni hivyo hivyo hakuna kitu kama Kabila la Wahaya... Nitaendelea kuwapa darasa ili mjitambue, siku nyingine mnapojiita sijui mimi Mnyamwezi sijui Msukuma sijui Mchaga mjue hayo majina yaligunduliwa na kutungwa na Wakoloni (waarabu na Wazungu)...
 
Hapo Kwa Mchagga Na Mmeru Kuna Kahusiano Kabisa Mkuu!!

Nakubaliana Na Wewe Asilimia Mia,..
 
Kasome maana ya neno kabila thn usome huu utumbo wako alioandika hapa
 
Najua wengi mtatokwa na povu kwa hili, lkn ndio ukweli wenyewe ktk Tanzania hakuna kitu kama Kabila, hayo ambayo nyie mnayaita Makabila yaligunduliwa nakutungwa Wazungu au wageni wengine kama Waarabu, kabla ya hapo kulikuwa hakuna kitu kama Wanyamwezi, Wasukuma, Wachaga wala Wagogo n.k

Nitawaeleza kwa nini kwa mfano hao ambao leo hii tunawaita Wanyamwezi ni neno ambalo lilitungwa na Watu wa kutoka Pwani wakati wa Biashara ya Makaravani kubeba Pembe za ndovu kupeleka Pwani ya AM watu wa eneo hili la Tabora (leo hii) ambao walikuwa ni mchanganyiko wa watu kutoka maeneo mbali mbali na wenye lugha mbali mbali wakaanza kujiita wanyamwezi yaani watu kutoka mwezini jina ambalo walipewa na watu Pwani kutokana na uhodari wao wa kazi ya kubeba mizigo mizito ili waweze kupata kazi kwa wakati huo kazi ya kubeba mizigo ya Pembe za ndovu ilikuwa inalipa na ndio maana mpaka leo kuna msemo Mzigo mzito mwachie mnyamwezi... ukija kwa Wasukuma hakuna kitu kama Kabila la Wasukuma, wasukuma linatokana na neno sukuma yaani watu wa kutoka Kaskazini sasa ni kina hao wanaweza kuwa watusi wanaweza kuwa wahangaza n.k

Ukija kwa watu ambao leo hii wanajiita Wagogo, hilo neno lilitungwa na wakati wa biashara ya makaravani, hivyo watu wanaoishi hilo eneo wakaitwa Wagogo kutokana na magogo yaliyokuwa yamejaa hilo eneo...

Ukija kwa hawa tunaowaita Wachaga kwa kifupi hakuna kitu kama Kabila la wachaga, hili neno walibatizwa na Wazungu (Wajerumani) na ndio maana hakuna kitu kama Lugha ya kichaga nikimaanisha kwamba kwa mfano Mtu anayetoka Marangu hawezi kuelewana na mtu anayetoka Rombo au mtu wa Kibosho hawezi kuelewana na mtu wa Machame kwanza kwa Mfano watu wa Machame kama akina Bw.Mbowe na watu wa Meru kama akina Bw.Slaa wanasilikilazana lkn Bw.Slaa (mMmeru) hahesabiki kama ni Mchaga yaani kwa maana nyingine Mmeru yuko karibu zaidi na Mmachame kuliko alivyo karibu na MMarangu sasa je kwa nini Mmeru asiitwe Mchaga au Mmachame asiitwe Mmeru?

Ukija kwa Wahaya ni hivyo hivyo hakuna kitu kama Kabila la Wahaya... Nitaendelea kuwapa darasa ili mjitambue, siku nyingine mnapojiita sijui mimi Mnyamwezi sijui Msukuma sijui Mchaga mjue hayo majina yaligunduliwa na kutungwa na Wakoloni (waarabu na Wazungu)...
Uliyoandika yote ni utumbo kama ktk uelewa wako unajua slaa ni Meru;hivi watz tukoje mtu unaandika kitu huelewi kwenye public forum?
 
Najua wengi mtatokwa na povu kwa hili, lkn ndio ukweli wenyewe ktk Tanzania hakuna kitu kama Kabila, hayo ambayo nyie mnayaita Makabila yaligunduliwa nakutungwa Wazungu au wageni wengine kama Waarabu, kabla ya hapo kulikuwa hakuna kitu kama Wanyamwezi, Wasukuma, Wachaga wala Wagogo n.k

Nitawaeleza kwa nini kwa mfano hao ambao leo hii tunawaita Wanyamwezi ni neno ambalo lilitungwa na Watu wa kutoka Pwani wakati wa Biashara ya Makaravani kubeba Pembe za ndovu kupeleka Pwani ya AM watu wa eneo hili la Tabora (leo hii) ambao walikuwa ni mchanganyiko wa watu kutoka maeneo mbali mbali na wenye lugha mbali mbali wakaanza kujiita wanyamwezi yaani watu kutoka mwezini jina ambalo walipewa na watu Pwani kutokana na uhodari wao wa kazi ya kubeba mizigo mizito ili waweze kupata kazi kwa wakati huo kazi ya kubeba mizigo ya Pembe za ndovu ilikuwa inalipa na ndio maana mpaka leo kuna msemo Mzigo mzito mwachie mnyamwezi... ukija kwa Wasukuma hakuna kitu kama Kabila la Wasukuma, wasukuma linatokana na neno sukuma yaani watu wa kutoka Kaskazini sasa ni kina hao wanaweza kuwa watusi wanaweza kuwa wahangaza n.k

Ukija kwa watu ambao leo hii wanajiita Wagogo, hilo neno lilitungwa na wakati wa biashara ya makaravani, hivyo watu wanaoishi hilo eneo wakaitwa Wagogo kutokana na magogo yaliyokuwa yamejaa hilo eneo...

Ukija kwa hawa tunaowaita Wachaga kwa kifupi hakuna kitu kama Kabila la wachaga, hili neno walibatizwa na Wazungu (Wajerumani) na ndio maana hakuna kitu kama Lugha ya kichaga nikimaanisha kwamba kwa mfano Mtu anayetoka Marangu hawezi kuelewana na mtu anayetoka Rombo au mtu wa Kibosho hawezi kuelewana na mtu wa Machame kwanza kwa Mfano watu wa Machame kama akina Bw.Mbowe na watu wa Meru kama akina Bw.Slaa wanasilikilazana lkn Bw.Slaa (mMmeru) hahesabiki kama ni Mchaga yaani kwa maana nyingine Mmeru yuko karibu zaidi na Mmachame kuliko alivyo karibu na MMarangu sasa je kwa nini Mmeru asiitwe Mchaga au Mmachame asiitwe Mmeru?

Ukija kwa Wahaya ni hivyo hivyo hakuna kitu kama Kabila la Wahaya... Nitaendelea kuwapa darasa ili mjitambue, siku nyingine mnapojiita sijui mimi Mnyamwezi sijui Msukuma sijui Mchaga mjue hayo majina yaligunduliwa na kutungwa na Wakoloni (waarabu na Wazungu)...


No research pumba hizi...............Dr Slaa si mmeru pumba nyingine.
 
we ni kanjanja. wasukuma wako ktk tabaka 3. unapo sema (KHEYA) manayake mashaliki ya wanyantuzu, MHWELI inamaana ya magaribi jua linako zama. SUKUMA inamaana ya kasikazini na DAKAMA inamaana ya kusini ndiyo huko kwa Wanyamwezi.
 
kwahyo kuna nini.? Ulevi mwingine noma sana.
 
we ni kanjanja. wasukuma wako ktk tabaka 3. unapo sema (KHEYA) manayake mashaliki ya wanyantuzu, MHWELI inamaana ya magaribi jua linako zama. SUKUMA inamaana ya kasikazini na DAKAMA inamaana ya kusini ndiyo huko kwa Wanyamwezi.

Nilichomaanisha ni kwamba kuna Mtu alikuja na akasema hawa Watu wataitwa Wanyamwezi na sababu ya kuitwa Wanyamwezi ndiyo hiyo niliyoitoa ni kwamba hilo eneo linaloitwa Unyamwezi lilikuwepo na kulikuwa na watu wa aina mbali mbali walioongea Lugha mbalimbali lkn za familia moja (Kibantu) hivyo wakati wa Makavarani yaani kutoka Kongo kupitia Kigoma, Unyamwezi mpaka Pwani Watu wa hili eneo walikuwa ni hodari na wenye nguvu na watu wa Pwani walistaajabu sana na hivyo kuwaita Wanya-mwezi yaani watu wa kutoka mwezini kutokana na umahiri wao wa kufanya kazi na kwa kuwa hiyo ilikuwa ndio sifa ya kupata kazi ya Kubeba mizigo basi watu wengi wa eneo hili wakaanza kujiita Wanyamwezi ili wapate kazi na huo ndio ulikuwa mwanzo wa hilo tunaloliita Kabila la Kinyamwezi kwa maana nyingine ni kwamba kama kusingekuwa na Makaravani na Biashara ya kubeba meno ya Tembo neno Unyamwezi lisingekuwepo yaani Kabila la Unyamwezi kama tulijuavyo lisingekuwepo kama vile Mzungu (Mjerumani) alipoenda na kusema hawa watu wa eneo hili wataitwa Wachaga na Mpaka wao utakuwa huu na kuanzia hapa kwenda mbele wataitwa Wameru mwisho hapa, kuanzia hapa na kuendelea wataitwa Wapare kwa maana nyingine ni kwamba Wajerumani wasingekuja Watu wengi ambao leo hii wanajiita Wachaga wangekuwa hawaitwi Wachaga!

Vivyo hivyo kwa Wasukuma hakuna kitu kama Kabila la Wasukuma, kwa maana Wasuk uma maana yake ni Watu wa kutoka Kaskazini kwa hiyo watu waliokuwa wanatoka Kaskazini wote wakaanza kujitambua na huo usukuma na ndio maana ndani ya hao wanaoitwa wasukuma kuna makundi mbalimbali ambayo wanweza wasielewane kwenye kuongea kwanza kwa mfano hata Wahaya ungeweza pia kuwaita Wasukuma kwa maana Lugha yao inafanana sana na Hicho kinachoitwa kisuk uma kwa kifupi yule aliyesema hawa wataitwa Wasukuma angeweza pia kuwajumisha Wahaya na leo hii tungewaita Wahaya ni Wasuk uma kama vile tunavyowaona Wanyatunzu ni Wasukuma wakati Mnyatunzu akiongea huyu tunayemuita Msukuma anapata shida kuelewa sasa kama kama ni wamoja ni kwa nini wasielewane kirahisi?
 
Back
Top Bottom