kwani na huyo si mchepukooooo!!!Nimekuja hapa kama dharura.
Asikuongopee mtu, hakuna kazi ngumu kama kudelete namba za simu za michepuko ya MMU Whatsapp!
Kiherehere changu cha kusomba namba za simu humu kimenitokea puani! Huku nikiwa sijawahi kuwasiliana hata na mchepuko mmoja, lakini lundo la namba za watu nisiowajua karibia 500, limenigharimu!
Nikiwa na miadi ya kwenda kuonana na mchumba wangu wa kwanza, leo, ilinibidi niahirishe. Nimeamka saa tisa usiku kufuta hizi namba, ah wapi! Unaifuta kwenye phonebook, unaifuta whatsapp, unarefresh, unarudi kucheki unakuta namba na profile zipo palepale! Michepuko imeweka profile mbaya za mitego mwanzo mwisho! Mara wabinue miguu, mara matako, mara nusu uchi!
Simu yangu anajua ni aina gani, na alishanisifia halafu kaishia kuniambia nina hamu ya kuiona, si unajua haya masifa yetu ya kihaya, kujisifia hata aina za simu, mara oh, hii simu ni kama satellite, inaweza kufanya hiki, mara kile!
Ndugu zangu, sina hamu, maana nina uhakika atakagua sana hii simu, hata nijifanye sina data hatakubali.
Nimedelete Whatsapp mara kumi, kila nikiinstall upya, wananiambia "we have found backup, Restore/Skip", nachagua Skip, kucheki hivi Whatsapp namba zote zipo, wamezirudisha, michepuko ndio kwanza imesanua matako na kujiachia!
Nablock, nikpress kwenye contacts, naambiwa " Unblock".
Sikutegemea.
Ilibaki kidogo sana niikanyage hii simu, Whatsapp wana njama, acheni kabisa!
Anatuenjoy huyu....on behalf of myself...and people of MMU....
~Ulikuaa huna pesa za kuspend....
~Hujiamini......
~Au hujui matumizi sahihi ya Simu na whatsap apps...
Hahahahaha mkuu hiyo kitu no serious. Mm ishanitokea kuna namba nlikua nataka iondoke kwenye simu yangi completely....sasa hawa google kwa kujifanya kujua yaani kila ukifuta namba kwenye contacts utaikuta kama ilivyo kwenye whatsapp....Sasa hivi nimeiweka simu mbali, maana nikiiangalia hivi napata hasira.
Hahahahaha mkuu umenichekesha sanaDah wewe jamaa mbona unapenda kufanya hivi ? Ona sasa sikuwa na mawazo ya nyeto ila hamna namna lazima nishtue
Mshana baba hiyo "chata" made in wapi mkuu ..... hv choo anaenda kweli huyo ..... hapo wajikuta watoa mshahara wooooote afu waomba nauli ya bajaji aseee
Mi mzima kaka sumbai... Vipi mpango wa Xmas?Kweli kabisaa. Dada Vale...
Vip mzima lakini??!
Xmass tunaiombea uzima tuu, the rest shwari.....Mi mzima kaka sumbai... Vipi mpango wa Xmas?