Veronica7598
JF-Expert Member
- Jan 2, 2017
- 361
- 408
Kuunistall whatsapp na kureinstall hakufuti namba mkuu bali msgs. Cha kufanya futa namba kwenye contact na hakikisha zimefutika na kwenye goigle account pia.Sasa hivi nimeiweka simu mbali, maana nikiiangalia hivi napata hasira.
Eti!!! Namba 500 toka MMU? Alafu anasema ni michepuko, ko itakua wasichana... Wasichana 500 wote namba zao za nini? Mda wa kusoma threads anapata kweli kama zi yake ni kuomba namba!?Muongo
PaprikaKuunistall whatsapp na kureinstall hakufuti namba mkuu bali msgs. Cha kufanya futa namba kwenye contact na hakikisha zimefutika na kwenye goigle account pia.
Unamalizia na kufanya recovery ya simu.
Kkkkkkkk! Em nifundishe kutongoza nianze usumbufuMshana baba hiyo "chata" made in wapi mkuu ..... hv choo anaenda kweli huyo ..... hapo wajikuta watoa mshahara wooooote afu waomba nauli ya bajaji aseee
Nilisitisha missions za kuonana na MMU ladies baada ya kuwa na miadi na mmoja kutoka humu na kunitisha wakati tunakaribia kuonana, Hello, alikuwa ananinyatia kama Van damme, tangu leo moyo unasita.
KwA huyu nauza share yangu yote ya MicrosoftMshana baba hiyo "chata" made in wapi mkuu ..... hv choo anaenda kweli huyo ..... hapo wajikuta watoa mshahara wooooote afu waomba nauli ya bajaji aseee
Abeee!Paprika
Miss uuAbeee!
Njoo inbox! Nakutafuta kweliMiss uu
Vp mkuuAisee
Choo anaenda na anatoa kitu chenye "foul's smell"Mshana baba hiyo "chata" made in wapi mkuu ..... hv choo anaenda kweli huyo ..... hapo wajikuta watoa mshahara wooooote afu waomba nauli ya bajaji aseee
ndio hivyo mkuu mambo gani haya ya kurudishana kwenye utumwa wa nyetoHahahahaha mkuu umenichekesha sana