Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 22,753
- 27,476
Vijiko vitatu tu vya π powder vitakupatia mchuzi mzito sana πBadala ya kufurahi, mnateseka! Inashangaza kidogo kuona mtu mmoja pekee anawechezesha ngoma vile apendavyo!
Lissu kwanza.Kuliko kufikiri mambo ya lissu
Lissu akitoka atatujaza mapesa tukiwa tumedevera tu kitaa ha ha ha!....ππLissu kwanza.
Hizo nyanya hata zikioza ni poa tu
Hii elimu inapaswa ifundishwe nchi nzima ili kusiwe na utupaji wa nyanya zinazoiva mpaka zinaharibika...Kuliko kufikiri mambo ya lissu na mdomo wake ambao ndiyo umemponza ni bora twende na wazo zuri la kibiashara tunajua tuna π paste!,lakini pia tunaweza kupata π powder tukaokoa nyanya nyingi aww ambazo huozea mashambani!.......
Hapa suala ni kuzingatia usafi tu,
Ongeza Ginger,garlic kidogo tayari,
==============
π Donβt Let Your Tomatoes Go to Waste! πΏ Turn Them Into Homemade Tomato Powder Thatβs Bursting With Flavor! π
View attachment 3654363
Fact mkuu,shida ya π hata ukihifadhi kwenye fridge inadebweda!....Hii elimu inapaswa ifundishwe nchi nzima ili kusiwe na utupaji wa nyanya zinazoiva mpaka zinaharibika...
Hapana,Lissu akitoka atatujaza mapesa tukiwa tumedevera tu kitaa ha ha ha!....ππ
Good business na itasaidia wakulima wetu kupata market, ila haki kwanza, anachofanyiwa Lisu ni abuse of power haikubalikiKuliko kufikiri mambo ya lissu na mdomo wake ambao ndiyo umemponza ni bora twende na wazo zuri la kibiashara tunajua tuna π paste!,lakini pia tunaweza kupata π powder tukaokoa nyanya nyingi aww ambazo huozea mashambani!.......
Hapa suala ni kuzingatia usafi tu,
Ongeza Ginger,garlic kidogo tayari,machumvi na mandimu watajiwekea wenyewe mwanawane!
==============
π Donβt Let Your Tomatoes Go to Waste! πΏ Turn Them Into Homemade Tomato Powder Thatβs Bursting With Flavor! π
View attachment 3654363
Upo sahihi mkuu......Wazo zuri sana lakini Wabongo sasa! Mtatengeneza hiyo powder, mkiambiwa mzingatie usafi mtaanza kuuliza magonjwa yana macho kwani?
Kali sanaMtengenezaji anaweza print satchet kama hii hapa!,kwa quality hii,akapiga hela,
Pigeni hela vijana!
N.b,satchet hii nimeibuni kwa kompyuta yangu,yeyote anaweza kopi na kutumia
View attachment 3654414
Ona hii,changamkia fursa kijanaMtoa mada apuuzwe ni ng'ombe wa mama.
Acha akina Mo dewji waichukie hii fursa!..../ Ningelikuwa na fedha ningelifanya hili lakini sina capital ya suala hili,atakayelibeba basi anikumbuke na packet format nimempa,itakuwa ni product ya kipekee sana.Kali sana