Hakuna binti mgumu... real experience

Hakuna binti mgumu... real experience

WaliNazi

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2012
Posts
851
Reaction score
96
,, Eti walokole ni wagumu.!!? Says who?

Hapa mtaani ninapokaa,kuna mabinti ambao nilikuta wamejenga jina kwamba ni ma 'untouchables', yani hakuna mwanaume anaweza walala.. ,,na kweli wana sali sana.

Basi nikajipanga.. Nikajishusha kwao,,nikaanza salimiana nao..,wakanijibu.

Nikajipanga tena... ,,nikafuatilia ratiba yao wiki nzima..,saa ngapi wanaenda kanisani na wanarudi saa ngapi?

Basi nikawa nafanya jogging kila muda ninapojua sasa huenda wanarudi toka kwenye maombi,, na kweli nikagongana nao ..siku za mwanzo,, ikapita wiki, mwezi,,

baada ya kuona wananipotezea, nikajipa ujasiri.,, nilimsimamisha mmoja wakiwa wanatoka kwenye sala.,,,

unataka kujua nini nilimwambia na alijibu nini...,?? Majasho yakinitiririka..,

nitarudi malizia,, naenda oga,, msiondoke rubirini kidogo
 
Habari za jumapili..najua unasubiri wapite kwenda kanisani ndio uje upate cha kumaliazia..haya kila la kheri boss
 
Wewe lazima una pepo! Kwa hiyo unajisifia kuwa umewaangusha mabinti dhambini? Wewe utakuwa unatu.miw.a. na ibilisi na hujijui maana kama unafurahia kudhambisha watu huoni kuwa unafanya kazi na lucifer?

Kumsababisha mwenzako kufanya dhambi siyo kitu cha kufurahia na kujisifia ni jambo linalohitaji majuto na kutubu. Ukiona unafurahi na kujisifia lazima una uwalakini kichwani.
 
Wewe lazima una pepo! Kwa hiyo unajisifia kuwa umewaangusha mabinti dhambini? Wewe utakuwa unatu.miw.a. na ibilisi na hujijui maana kama unafurahia kudhambisha watu huoni kuwa unafanya kazi na lucifer?

Kumsababisha mwenzako kufanya dhambi siyo kitu cha kufurahia na kujisifia ni jambo linalohitaji majuto na kutubu. Ukiona unafurahi na kujisifia lazima una uwalakini kichwani.


Umenena vema mkuu. Huyo ni agent wa Lucifer yuko kazini.:juggle:
 
kweli wewe walinazi bila shaka wasubiri kupakuliwa...

Unajisifu kwa kufanya dhambi na kumsababishia mwingine kufanya dhambi!!!

Kibaraka wa shetani wewe majinuni mkubwa...
 
Sidhani kama hili ni jambo la kujisifia... hurting someone else's feelings to prove hakuna "mgumu"?! Huu ni utoto
 
,, eti walokole ni wagumu.!!? Says who?

Hapa mtaani ninapokaa,kuna mabinti ambao nilikuta wamejenga jina kwamba ni ma 'untouchables', yani hakuna mwanaume anaweza walala.. ,,na kweli wana sali sana.

Basi nikajipanga.. Nikajishusha kwao,,nikaanza salimiana nao..,wakanijibu.

Nikajipanga tena... ,,nikafuatilia ratiba yao wiki nzima..,saa ngapi wanaenda kanisani na wanarudi saa ngapi?

Basi nikawa nafanya jogging kila muda ninapojua sasa huenda wanarudi toka kwenye maombi,, na kweli nikagongana nao ..siku za mwanzo,, ikapita wiki, mwezi,,

baada ya kuona wananipotezea, nikajipa ujasiri.,, nilimsimamisha mmoja wakiwa wanatoka kwenye sala.,,,

unataka kujua nini nilimwambia na alijibu nini...,?? Majasho yakinitiririka..,

nitarudi malizia,, naenda oga,, msiondoke rubirini kidogo

Wewe unadai uliambiwa
Unajua tofauti kati ya kuambiwa na kushuhudia?

Hata kama uliweza kumpata huyo,unawezaje kufikiri kuwa kila binti yupo kama hao?

Aina yako ya kufikiri huenda ilipata ajali au ni mbovu!
 
Mtu mwenyewe tayari anaitwa wali nazi hauoni ni shda tayari

Sent from my BlackBerry 9790 using JamiiForums
 
.,, jamani msinijudge vibaya,,, niacheni nimalize.

Basi nilipomsimamisha huku majasho yakinitoka,, nikanyanyua tisheti yangu nijifute usoni kwani sikua na kitambaa cha jasho...,, huku nikihema tumbo langia ndani,larudi, kumbe nikamloga binti yule kwa kufanya vile.?

Sikupoteza muda ,,kwani mwenzake alikua ametembea kitambo kidogo, nikampa simu aandike namba yake.

Guyz sikuamini. Aliandika namba yake....nikasema tu,, AHSANTE.

Nikajipanga tena.,, nikasema hapa inanibidi nitongoze kikubwa,, nikawa real,, nikawa open,,nikamwomba K.,,PAPUCHI,,kwa akili kubwa.

Sikuamini.. Kumbe hawa mabinti wafia dini uwa wanakua na njaa kali ya mapenzi..,,

nitarudi kumalizia, nanywa chai.
 
Think twice kila mtu yupo tofauti na kumsababisha mwenzio atende dhambi ni kosa
Na kusema walikuwa na njaa ya ngono je wewe ulikuwa na njaa ya nini
 
binti yule hakunipa hata vifungu ktk biblia...

Nikamwambia nimewafuatilia kwa muda mrefu ,,ila nilikua nashindwa kuwaanza.

Nikamwalika geto,,akaja,akawa real,akawa open,
haongei sana, ila anasubiri mimi tu nimuongoze ktk dunia ya mahaba..

I made no mistake.. I touched her,, i kissed her,, i pulled up her skirt,,

guyz !! She simply let me explore her...like i was her dream came true...

Sikuamini.,,i just made love. She was tight and screaming softly.. Nikajisifu.

Kumbe,,kuumbee,, just kumbe.., akanipa story yake fupi ,,ati nini kilimfanya aokoke.. Nilitamani kujiuaa...

Jamani,nitarudi malizia.,, sad ending. Naenda nunua vocha.
 
,, akaniambia aliokoka ili kushusha mzigo wa dhambi aliokua akiubeba.

Kwamba alikua na mahusiano na mtu mmoja ambaye alimpa ujauzito,ila baadae jamaa yake akamtelekeza.

Baada ya kutelekezwa akaona isiwe kesi,akatoa ile mimba. Baadae akawa anashida kubwa na mtoto.,akaanza mahusiano ya mara kwa mara na vijana ili tu wampe mimba.,akawa hapati.

Nafsi yake ikaanza kumsuta,kwamba huenda ni kile kiumbe alichokitoa ndo kinamuhukumu..

Ndo hapo akaamua kuokoka,,ili atubu.

MWISHO.

MORAL LESSON,, 'si kila king'aacho ni dhahabu'.
 
Kutega utege wewe, kujifanyisha mazoezi yasiyo na ulazima ujifanyishe wewe, Kuimbisha uimbishe wewe, Ulichokipata/jibiwa tusubiri sisi Halali kweli?
 
kweli wewe walinazi bila shaka wasubiri kupakuliwa...

Unajisifu kwa kufanya dhambi na kumsababishia mwingine kufanya dhambi!!!

Kibaraka wa shetani wewe majinuni mkubwa...

taratibu mkubwa,, there is lesson inside..
 
Back
Top Bottom