GRANITE II
JF-Expert Member
- Oct 24, 2016
- 514
- 924
Mgodini muuza matunda unakuta n nyoka (Ananunua dhahabu kwa siri) au anatumia leseni ya boss mwingine ya u blocker hapo lazima ajue mambo mengi sana kuhusu hustle za madini coz inabidi kusoma upepo vzr na kujua namna bora ya kununua...Fikiria muuza matunda anayeongea lugha moja na wachimbaji. Anajua hussle zote na nini. Chance ya kutoboa ni kubwa sana.
Ki ufupi mtu alieko mgodini hata kama anauza genge,mgahawa au matunda sio wa kuchukulia poa ipo siku utakutana nae kwenye comfort zone yake atakushangaza.