Hakubanduka kifuani mpaka majogoo!

[/QUOT Kumbe hii kitu ya kupenda kukumbatiwa ni kwa kila mdada/mmama eeh?
It becomes very lovely when you hug her gently afterwards mpaka mnasinzia although kwa
sisi wanaume huwa mara nyingi hatupendelei kufanya hivyo.I started doing it baada ya
kuambiwa na mpenzi wangu kuwa huwa simtendei haki nisipomkumbatia afterwards!![/QUOTE]

Ngoja tujifunze hapa maana na mimi yalinikuta hayo........
 
inabid umwulize huyo anayefaidi hicho kifua..... kwani ww huwa unajifeel vp akipozi kwa kifua?
ujue wakati mwingine inapendeza ukitafuta jibu nje ya eneo la tukio ......... that way hutaonekana kama "umeboreka"
 
Back
Top Bottom