george aloyce
JF-Expert Member
- Aug 22, 2017
- 1,302
- 1,971
HAKIMI APATA CHOMBO MPYA
Staa wa Morocco na klabu ya PSG anayesifika kwa kuwanyoosha wanawake matapeli ametajwa kupata mchumba mpya ambaye pia ni mchezaji wa timu ya wanawake wa klabu ya PSG, binti raia wa Algeria aliyefahamika kwa jina la Nourhan.
Jamaa unaambiwa yeye ukifunga nae ndoa mirathi ashamueka mama yake mzazi ndio mmiliki wa mali zake zote, anachomiliki yeye ni mbupu tu
Hivyo kama umekuja kama jambazi kuvizia utajiri unaondoka patupu
Huyu ndio mwenyekiti wa kidunia wa chama cha wanaume wabahili (CHAWAWABA).
Staa wa Morocco na klabu ya PSG anayesifika kwa kuwanyoosha wanawake matapeli ametajwa kupata mchumba mpya ambaye pia ni mchezaji wa timu ya wanawake wa klabu ya PSG, binti raia wa Algeria aliyefahamika kwa jina la Nourhan.
Jamaa unaambiwa yeye ukifunga nae ndoa mirathi ashamueka mama yake mzazi ndio mmiliki wa mali zake zote, anachomiliki yeye ni mbupu tu
Hivyo kama umekuja kama jambazi kuvizia utajiri unaondoka patupu
Huyu ndio mwenyekiti wa kidunia wa chama cha wanaume wabahili (CHAWAWABA).