Ndugu watanzania wapenda mabadiliko. Ninawaombeni wote kwa umoja wetu hasa sisi tunaoamini katika nguvu ya umma tusiitizame tena TBC one tuikatae kwa vitendo. hiii ni kwasababu zifuatazo.
1.imekuwa ikitumika kama chombo cha kuiimarisha ccm kwani inaeneza na kusambaza propaganda za CCm
2. TBC one wamekuwa wakitumika kuichafua CHADEMA ikitumiwa na Nape na baadhi ya mawaziri.
3. Kuitizama TBC tunawafanya wapate biashara ambapo kipato hicho wanakitumia kuwalipa wafanyakazi ambao wanatuvunja moyo.
4. Hatuwezi kugaramia kujeruhiwa(pesa yetu wenyewe isitudhuru)
5. Haina vipindi vyenye mvuto kwa jamii.
kutokana na haoy yote na mengine mengi ambayo sijayasema ni vizuri tukasusa kuiangalia ili nayo iumie kama sisi.
1.imekuwa ikitumika kama chombo cha kuiimarisha ccm kwani inaeneza na kusambaza propaganda za CCm
2. TBC one wamekuwa wakitumika kuichafua CHADEMA ikitumiwa na Nape na baadhi ya mawaziri.
3. Kuitizama TBC tunawafanya wapate biashara ambapo kipato hicho wanakitumia kuwalipa wafanyakazi ambao wanatuvunja moyo.
4. Hatuwezi kugaramia kujeruhiwa(pesa yetu wenyewe isitudhuru)
5. Haina vipindi vyenye mvuto kwa jamii.
kutokana na haoy yote na mengine mengi ambayo sijayasema ni vizuri tukasusa kuiangalia ili nayo iumie kama sisi.