wadau yaniktk siku 365narobo/366 kwamwaka, wanawake wanayo cku 1 tu nyingine zote haziwahusu na ikifika wanaandaa maadhimisho wanajaribu kujilinganisha na wanaume. Mwanaume ni mwanaume tuu na atabaki kuwa mwanaume. Imeandikwa mume atamtawala mke......mke atatii.....mume atapenda. So kazi yenu ni kutii watawala wenu (wanaume) πππ:d:d:d:dπ± Dah.... Poleni sana. Ila maadhimisho mema
1timotheo 2:12 simruhusu mwanamke ye yote kufundisha au kuwa na mamlaka juu ya wanaume. Mwanamke anapaswa kukaa kimya.