chepeo2013
New Member
- Nov 12, 2015
- 1
- 0
Kwa mara nyingine tena tunapokwenda kumaliza mwaka 2015, uongozi wa Kanisa la Waadventista Wasabato Kimara lililopo maeneo ya Kimara risort- DSM umeandaa siku maalum iitwayo "SABATO YA WAGENI YA MAJIRANI" ambayo madhumuni yake ni kujumuika nawe mpendwa ambaye sio muumini wa dhehebu hili, bila kujali wewe ni dini gani, wakaribishwa tujifunze mambo makuu ya muumba wetu na nyimbo toka kwa kwaya na vikundi mbalimbali.
Ibada itaanza saa 2 asubuhi hadi saa 11 jioni , siku ya Jumamosi tarehe 28 Novemba, 2015 kutakuwepo na chakula kwa watu wote na zawadi nzuri kwa wageni wote.
NYOTE MNAKARIBISHWA
Ibada itaanza saa 2 asubuhi hadi saa 11 jioni , siku ya Jumamosi tarehe 28 Novemba, 2015 kutakuwepo na chakula kwa watu wote na zawadi nzuri kwa wageni wote.
NYOTE MNAKARIBISHWA