Dalali wa Mjini
JF-Expert Member
- Oct 5, 2024
- 1,074
- 1,564
Amani iwe juu yenu wenye Imani ya Mungu.
Baraka za Mungu ziendelee kuwa na Nyinyi Amini.
Kwenye haya Maisha unakutana na watu tofauti Sana wenye roho mbaya wenye roho za Kati na wenye roho.
Hawa wenye roho mbaya wao hawajali Maisha ya watu wengine.
Hawa wenye roho za kati huwa na roho mbaya na wakati mwingine ubinadamu upo kwahiyo hubadilika na kufanya hisani Kwa waja.
Hawa wenye roho nzuri hata uwafanyie mabaya kiasi Gani wao hutabasamu na kuomba Kwa MUNGU ili ubadalike na pengine uwache roho mbaya kabisa.
Husaidia watu bila kujali malipo Yake Nini maana anaona sio kila mtu amebarikiwa Mali kwahiyo kukupa kidogo kitu basi kwakwe yeye anashukuru maana Moyo wake umetoa kwa Nia njema.
Mungu awabariki Sana Nyinyi mnaotudaidia kitu kidogo maana kwetu ni kikubwa sababu na Sisi pia husaidia familia Kwa kidogo mlichotupa.Dua za Kweli ziende kwenu waungwana hakika sote ni ndugu na sote sisi ni safari moja.
Tupo hapa duniani kufurahisha nafsi zetu na sio kuzitesa.
Nguvu ya Mungu iendelee kutulinda na husda tusiwe kama wale waliotangulia AMEEN.
usisite kunipa Kazi ya kukutafutia kiwanja au nyumba ya kununua Boss wangu.Mana dalali Mimi sichaji Hela ya usumbufu isipokuwa utanilipa mafuta ya kukufikisha eneo la tukio kwahiyo nipeni Kazi mabosi zangu nitafanya Kwa uaminifu kabisa.
#DALALIWAMJINI
0754693556
Baraka za Mungu ziendelee kuwa na Nyinyi Amini.
Kwenye haya Maisha unakutana na watu tofauti Sana wenye roho mbaya wenye roho za Kati na wenye roho.
Hawa wenye roho mbaya wao hawajali Maisha ya watu wengine.
Hawa wenye roho za kati huwa na roho mbaya na wakati mwingine ubinadamu upo kwahiyo hubadilika na kufanya hisani Kwa waja.
Hawa wenye roho nzuri hata uwafanyie mabaya kiasi Gani wao hutabasamu na kuomba Kwa MUNGU ili ubadalike na pengine uwache roho mbaya kabisa.
Husaidia watu bila kujali malipo Yake Nini maana anaona sio kila mtu amebarikiwa Mali kwahiyo kukupa kidogo kitu basi kwakwe yeye anashukuru maana Moyo wake umetoa kwa Nia njema.
Mungu awabariki Sana Nyinyi mnaotudaidia kitu kidogo maana kwetu ni kikubwa sababu na Sisi pia husaidia familia Kwa kidogo mlichotupa.Dua za Kweli ziende kwenu waungwana hakika sote ni ndugu na sote sisi ni safari moja.
Tupo hapa duniani kufurahisha nafsi zetu na sio kuzitesa.
Nguvu ya Mungu iendelee kutulinda na husda tusiwe kama wale waliotangulia AMEEN.
usisite kunipa Kazi ya kukutafutia kiwanja au nyumba ya kununua Boss wangu.Mana dalali Mimi sichaji Hela ya usumbufu isipokuwa utanilipa mafuta ya kukufikisha eneo la tukio kwahiyo nipeni Kazi mabosi zangu nitafanya Kwa uaminifu kabisa.
#DALALIWAMJINI
0754693556