Juma chief
JF-Expert Member
- Jun 6, 2016
- 2,764
- 2,366
mbona mke wangu ni natural hivihivi, tena kamzidi huyu dada kabisa.
So naturally beautiful! Angekuwa wifi kwa mdogo wangu Loishie ningefurahije!
NditoSo naturally beautiful! Angekuwa wifi kwa mdogo wangu Loishie ningefurahije!
Na MUFINDI huko iringa. Nilifanya kazi miaka miwili huko eti wakiniita 'White' wakat kwetu pwani mm ni maji ya kunde tuUkitaka weusi nenda mbeya ndani ndani uko ileje
Mmoja ani Pm adimu hao kama faru j
Wapi sasa au hawa wanaoogea jik?Hujaamua tu kuwatafuta. Wapo kibao wamejazana
Mzuri ila ana tumbo kubwa linakeraSo naturally beautiful! Angekuwa wifi kwa mdogo wangu Loishie ningefurahije!
Hamuishiwagi sababuMzuri ila ana tumbo kubwa linakera
Duuu watu hamkosi kutoa kasoroMzuri ila ana tumbo kubwa linakera
Tuache kusema ukweli?Hamuishiwagi sababu![]()
Sasa aogope kupiga picha kisa ana tumbo jamaniiTuache kusema ukweli?
Kwani ni uongo huyo Dada hana tumbo kubwa?? Bila aibu nayeye anaenda photoshoot