Hakika Si kila Kibonge ni Mzembe

Hakika Si kila Kibonge ni Mzembe

Mwamba028

JF-Expert Member
Joined
Nov 15, 2013
Posts
4,648
Reaction score
3,807
Unaweza kumwona mtu ana mwili flani tipwa tipwa ukamchukulia poa na kumwona mzembe flani hivi kumbe ukijichanganya unaweza kukalishwa vibaya mnoo.

Kweli sio kila kibonge ni mzembe, mana jamaa anavyojirusha huwezi amini kama ni yeye

Najua kuna vibonge wa Jf wenye vitambi vyao watakuja kutamba hapa wakati....

 
Unaweza kumwona mtu ana mwili flani tipwa tipwa ukamchukulia poa na kumwona mzembe flani hivi kumbe ukijichanganya unaweza kukalishwa vibaya mnoo.

Kweli sio kila kibonge ni mzembe, mana jamaa anavyojirusha huwezi amini kama ni yeye

Najua kuna vibonge wa Jf wenye vitambi vyao watakuja kutamba hapa wakati....


Sinema tu hizo kama za van damme!! Unaona mtu anapigwa teke na kufa hapo hapo kumbe wapi ujanja wa camera tu.. usijidanganye na usijaribu kufuga tumbo na kujaza mafuta kama huyo mwigizaji hapo tutakuzika kwa pressure na kisukari mapema sana
 
Hapo ndipo ule wimbo wale jamaa walioimba mzee athumani akishalewa, sasa ule wimbo wao wa kibonge una apply..
 
Hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha

Jamani JF itabaki kuwa my best forum forever

Comment zenu members zitaniua kwa kicheko,,,daaah nmecheka cn
 
Ikuzoee mara ngapi sasa haipiti week umepata me mzima hofu kwako
Hapana.
Ban ya juzi ni ya mara ya 3 tangu nijiunge JF.

Mimi nipo busy ndio maana naonekana kidogo kidogo siku hizi
 
Back
Top Bottom