Hakika nitakapooa, nitaoa mwalimu

1.wengi wao wana poor financial background hivyo ni rahisi kulaghaiwa hasa akikutana na mwanaume materialist.
4.jiandae kujenga ukweni ulimuona
5.jiandae kuwa na extended type of family
Acha kupotosha mkuu. Mimi nina ndugu 4 walimu (3 ni wadada na wameolewa).

1. Wazazi wetu sio maskini, Mungu kawapa uwezo wa kutulea na kutusomesha. Hapa umegeneralize vibaya!
4. Hakuna shemeji anayejenga kwa wazazi wangu. Wazazi wetu wanafanya kazi na sisi watoto wao ni wajibu wetu kuwatunza na SIO wa wengine.
5. Hakuna extended family. Kila mtu anaishi kwake na familia yake na tunakutana kwa wazazi kuwasalimia.

Watu huamua kusomea fani fulani kwa interest zao. Mungu akusaidie akili ya kufikiria vyema!
 
"Walimu siku hizi ndo chaguo la kuoa"
 
Walimu wapo wengi sana kuliko kada yyte Tanazania, sasa ukianza kuainisha kufa, kuzaa, kutembea nje ya ndoa, kutokuwa wa kileo, pesa haitosh obvious watakuwa walimu 7bu wao ni wengi ndo maana hata hesabu yao kwenye u-first lady ni wao. Ila kumbukeni a brave man marries teacher. Walimu hata ukioa kila mtu anajua una mke!!
 
Inategemea ni mwalimu wa level gani. Lakini wengi wao siku hizi wako kimaslahi zaidi.

Wengine hawajatulia kabisa, kugawa penzi njenje.
 
 
Hahahaaaaaa!!! Ngoja kwanza niajiriwe nitakujibu bwana shemeji, Maghufuli kagoma kutoa ajira.
 
Teh teh teh teeeh!! Hivi wewe wanawake hawanaga jema kwako?? Itabidi tumtafute huyo alokuumiza aje akuombe msamaha.
 
Uko sawaa kk
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…