naomben ushaur wana JF,mimi ni mvulana wa miaka 21 nmekuwa na wakati mgumu sana katika mapenz kutokana na kung'ang'aniwa kimapenz na wakina dada ambao nmekuwa nao katika mahusiano:
katika hali ya kawaida ni vigumu sana mvulana aliye kamili kukaa kwa kpndi kirefu bila kufanya sex,ivo kwangu suala hili limekuwa kitendawili kutokana kuwa kila mdada ambaye nakuwa naye kimapenz mwisho wa cku ataki kuniacha na kung'ang'ania eti nimuoe na hii imekwisha nitokea kwa wasichana zaidi ya 8
Tatizo ni wakat huu ambapo kuna mdada alikuwa mpenz wngu kabla cjaondoka kwenda Nairobi kimasomo kuamua kuachana na mme ambaye aliyekuwa anaish nae na kurudi kwao ambapo ni mtaa mmoja na nyumban akidai lazma mm nimuoe,na amekuwa kila siku akija home kwetu na kukaa na Bi mkubwa(mama) mpaka nnaporud kutoka job,
japo wasichana wote ambao nakuwa nao kimapenz huwa nawaweka wazi kuwa mm naitaji mahusiano ya kimapenz na sio ndoa ili akae akijua tupo pamoja kama wapenz tu na si vingnevyo,
jaman naomben ushaur wenu nifanye nn kwan imefikia hatua hadi mmewe japo hawajafunga ndoa anakuja home kwetu kumlalamikia Bi mkubwa kuwa nmemtenganisha na mkewe
mme mkuu mbona unaniangusha yan hata sheria za nchi yko huzijui,kuna sheria ambayo hata kama hujafunga ndoa na mwanamke ila mkiishi kwa miaka kadhaa kisheria inatambulika kuwa ni mkeo halali kabisa na hanakuwa na haki zote kisheria kama mke wa ndoa:
lengo langu sio kukufundisha sheria kwan co tatizo langu ni your ignorance of the law bye kaka,ukiniitaji kuhusu sheria utaniambia nitakusaidia tatzo lolote lile linalohusu sheria,kwan my profession is a lawyer
asante kaka najua bado ww mchanga kwenye mapenz ndo maana hauna mchango wowote kwenye JF zaidi ya kusoma habri za watu na kutoa meno nje,
halikuwa kusud lango nmetelezwa na maneno so very sorry
mie nshamaliza chuo na sasa ivi ni mwajiliwa wa tawi moja la CRDB hapa mwanza,na saivi nataka ntulie ili ntafute mke wa kuoa kwan nlikuwepo kcheche sana,lakn nakumbana na hili tatzo
Yaani wewe umekwisha athirika kwa ngono mpaka hata akili yako imeganda.kaka mapenz noma we kua uyaone,saiv unatukana ila nawe utatukanwa
tatzo uelewa wako ni mdogo sana ebu naomba rudi shule kwan naona ww ni mjinga kupita kiac na nahakika kama umesoma bac ni form 4 failure,katka maelezo yngu ni wapi umesoma ukakuta nmeandika hao madem nlikuwa nawatambulisah kwa Bi mkubwa,fu-ck you bastud ur mother fu-ck, u have to read a passege efficiently and effectively before start commenting,naomba nikufundishe kwan naona darasa la saba uliloishia linakusumbua,WHEN YOU READ A PASSEGE,YOU SHOULD HAVE THESE THINGS;
ATTENTION,
YOU SHOULD KNOW THE SUBJECT MATTER OF THE PASSEGE,
YOU HAVE TO MAKE A GOOD SUMMARY,
AND UNDERSTAND WHAT THE PASSEGE WAS ABOUT
Siitaji niendelee kwan sio tatizo lako ila ni upeo mdogo na ujinga ulonao,soma vizur maelezo ya watu na ukishaelewa ndo uanze kutoa usahuri,ww inavoonesha ni IDIOT