Hakika Lowassa watanzania watakukumbuka sana

Hakika Lowassa watanzania watakukumbuka sana

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
52,209
Reaction score
162,780
Kauli anazozitoa mh. sana na mengine yanaoendelea katika awamu hii ambayo bila shaka yamemgusa karibu kila mtu kwa namna moja au nyingine, ninahakika wengi leo hii wanatamani wewe ndio ungekuwa Magogoni pengine yote haya yasingetokea.

Nina uhakika kama uliweza onyesha busara na uvumilivu mkubwa wakati wa kampeni, busara na uvumilivu huo ndio ungetumia kutuongoza.

Hivi sasa kila mtu anaipata elimu ya uraia automatically kiasi kwamba mpaka 2020 kila mtu atakuwa amejua thamani ya kura yake.

Bahati haiji mara mbili hata hivyo riziki ya mtu huwa haipotei bali hucheleweshwa tu.
 
Hii ni kweli kabisa, nina mfano wa karibu kabisa kwa mtu ambaye wakati wa kampeni alishakuwa adui yangu kwa mimi kuisapoti UKAWA, akiniona kijana nimepotoka na bila shaka nasukumwa na nguvu ya viroba.........ila sasa anajuta namimi namuambia asijali maana kama ni namba basi tunaisoma wote ila yeye ndio chanzo cha hayo yote.
Kamanda Lowasa angekuwa Ikulu time hii bila shaka ingekuwa chereko kila dakika.
 
Mafisadi,wapiga dili na mawakala wa ufisadi wa chadema mtamkumbuka sana.
 
Kauli anazozitoa mh.sana na mengine yanaoendelea katika awamu hii ambayo bila shaka yamemgusa karibu kila mtu kwa namna moja au nyingine,ninahakika wengi leo hii wanatamani wewe ndio ungekuwa Magogoni pengine yote haya yasingetokea.

Nina uhakika kama uliweza onyesha busara na uvumilivu mkubwa wakati wa kampeni,busara na uvumilivu huo ndio ungetumia kutuongoza.

Hivi sasa kila mtu anaipata elimu ya uraia automatically kiasi kwamba mpaka 2020 kila mtu atakuwa amejua thamani ya kura yake.

Bahati haiji mara mbili hata hivyo riziki ya mtu huwa haipotei bali hucheleweshwa tu.
Mlizoea vya bwerere siyo fanyeni kazi hamtaki sasa mtapata habari yenu
 
Kauli anazozitoa mh. sana na mengine yanaoendelea katika awamu hii ambayo bila shaka yamemgusa karibu kila mtu kwa namna moja au nyingine, ninahakika wengi leo hii wanatamani wewe ndio ungekuwa Magogoni pengine yote haya yasingetokea.

Nina uhakika kama uliweza onyesha busara na uvumilivu mkubwa wakati wa kampeni, busara na uvumilivu huo ndio ungetumia kutuongoza.

Hivi sasa kila mtu anaipata elimu ya uraia automatically kiasi kwamba mpaka 2020 kila mtu atakuwa amejua thamani ya kura yake.

Bahati haiji mara mbili hata hivyo riziki ya mtu huwa haipotei bali hucheleweshwa tu.
Hamna cha lowasa wala makufuli wote walewale tu. TZ hamna kiongozi mwenye afadhari
 
Yaani ni kama mtu akikaa kimya bila kuongea kwa muda mrefu wanasema utanuka mdomo, ndo hapo unakuta mtu anaongea hata asichokijua ilimradi asinuke mdomo.

Hapa naona umeandika tu huenda hata hujui ulichoandika ilimradi tu umeandika.

Hata Idd Amin hadi leo anakumbukwa. Adolf Hitler anakumbukwa, Osama anakumbukwa. Sasa inategemea atakumbukwa kwa lipi ulilofanya.

Huyu mzee hana zuri la kukumbukwa nalo. Ama ni lipi kati ya haya? Kujiuzulu uwaziri mkuu, kufanyia viza baadhi ya watu, kuhusishwa na ufisadi wa kampuni tata ya richmond, kufanya sherehe kila tar 1/1, kukatwa na ccm, kuhusishwa na kujilimbikizia mali nyingi, kuhusishwa na kujiuzia ranch za taifa, kushindwa uraisi, ama akumbukwe kwa lipi zuri?
 
Magufuli must commit political suicide and form a coalition with Lowasa thats the only way he can achieve his goal . I know he admire and accept him but circumstances makes him not to show bcoz of the party members surrounding him. But am sure he follows Lowasa under cover of darkness like nicodemus for political guidance and advice
 
Back
Top Bottom