Swali lake ni kuwa kwanini haya haukuyaongea wakati mwendazake bado yuko Chamwino?Mkuu huku kujengeana majumba ni utaratibu tu(sina uhakika kama upo kwenye katiba), Haya yote yote hayalisaidii taifa lazima kufanyike mabadiliko hasa ya kifikra ndani ya chama
Asante ndugu. Hayo ni mahekalu na magari ya kifahari. Eti wanetumikia taifa, walikaa bure wakiwa tangu mawaziri hadi urais. Wanahela chungu mzima. Wanapension kiboko, watumishi etc. hivi kuku/bata gani alianzisha hiyo sharia. Juzi tuliambiwa serikAli haina hela, wao wanahela zao tu JK Ana Nyumba ngapi? Huyo alikuwa waziri wa madini wakati wa madudu ya contracts. Ana hela kibao. Jamani, this is a joke! Tuamke jamani. They don’t deserve such generous pensions.Bila kupepesa macho hapa nainyooshea kidole CCM,ambacho mimi ni mshabiki wake.
Tatizo ni nini hasa? mmekosa washauri? hamna tena watu wa kuona mbali japo hatua hata mia moja!?
Hivi kwanini kushiba/kushibishana nyinyi tu?
NAKIRI hatuna upinzani madhubuti lakini kisiwe kigezo cha kuwanyanyasa wananchi.
Mfano huu utaratibu wa kujengeana nyumba,kupeana mizawadi ya gharama,mtu kuendelea kupokea mshahara licha ya kuwa amestaafu wakati vijiji kama mtimbwilimbwi, mawindi,isunula,nakopi, ndechela nk havina huduma muhimu ni aibu.
KWA hali ilivyo sasa nilitegemea chama kijikite zaidi kwenye kuisimamia serikali iboreshe huduma za kijamii na sio kuitafuna nchi.
WANANCHI tunajitahidi kufanya kazi lakini serikali inatuangusha kwa kutapanya kile tunachochangia
Asanteni,
NB:TUNAHITAJI FIKRA MPYA ZA KUNUFAISHA TAIFA CCM sasa imezeeka
Na Samia mtakuwa naye for 30 years. Madini yakiisha ndiyo ataachia ngazimtajuana wenyewe maccm
Mkuu hapa mipasho haisaidii,hivi ungejisikiaje baba yako hukulipii ada,nyumbani mnalala na njaa,halafu unasikia babaako anamjengea kimada?mtajuana wenyewe maccm
Mkuu hapa mipasho haisaidii,hivi ungejisikiaje baba yako hukulipii ada,nyumbani mnalala na njaa,halafu unasikia babaako anamjengea kimada?
Na usikute walikaa kamati kujadili zawadiAsante ndugu. Hayo ni mahekalu na magari ya kifahari. Eti wanetumikia taifa, walikaa bure wakiwa tangu mawaziri hadi urais. Wanahela chungu mzima. Wanapension kiboko, watumishi etc. hivi kuku/bata gani alianzisha hiyo sharia. Juzi tuliambiwa serikAli haina hela, wao wanahela zao tu JK Ana Nyumba ngapi? Huyo alikuwa waziri wa madini wakati wa madudu ya contracts. Ana hela kibao. Jamani, this is a joke! Tuamke jamani. They don’t deserve such generous pensions.
Hata ukihama nyumba bado utahama nayo masononeko na machungu yakoHama nyumba
Kimezeeka mkuuChama cha maibilisi kijani kibichi ni empty head tabulalasa kwelikweli .
Kinachoniumiza tunazalisha viongozi wa kuitafuna nchi na si kuijenga nchiNa Samia mtakuwa naye for 30 years. Madini yakiisha ndiyo ataachia ngazi
Ndani ya CCM hakuna mwenye nia njema na wananchi wote ni wachunajiBila kupepesa macho hapa nainyooshea kidole CCM,ambacho mimi ni mshabiki wake.
Tatizo ni nini hasa? mmekosa washauri? hamna tena watu wa kuona mbali japo hatua hata mia moja!?
Hivi kwanini kushiba/kushibishana nyinyi tu?
NAKIRI hatuna upinzani madhubuti lakini kisiwe kigezo cha kuwanyanyasa wananchi.
Mfano huu utaratibu wa kujengeana nyumba,kupeana mizawadi ya gharama,mtu kuendelea kupokea mshahara licha ya kuwa amestaafu wakati vijiji kama mtimbwilimbwi, mawindi,isunula,nakopi, ndechela nk havina huduma muhimu ni aibu.
KWA hali ilivyo sasa nilitegemea chama kijikite zaidi kwenye kuisimamia serikali iboreshe huduma za kijamii na sio kuitafuna nchi.
WANANCHI tunajitahidi kufanya kazi lakini serikali inatuangusha kwa kutapanya kile tunachochangia
Asanteni,
NB:TUNAHITAJI FIKRA MPYA ZA KUNUFAISHA TAIFA CCM sasa imezeeka
Na hili wameambukiza mpaka vyama vingine,na kada mbalimbali serikalini,mtu ukipewa kitengo unawaza kuvuna tuNdani ya CCM hakuna mwenye nia njema na wananchi wote ni wachunaji