Nyakwaratony
JF-Expert Member
- Dec 21, 2011
- 573
- 140
Hali zenu wana jamii forums?
Naomba kueleweshwa kuhusu kisheria haki ya baba mtoto kumchukua mtoto afikapo umri wa miaka saba (7). Utakuwa mama mtoto kamlea mtoto wake kwa shida sana na kwa kujinyima thn baada ya miaka saba (7) baba wa mtoto ndo anajitokeza kutaka kumchukua mtoto eti ndo sheria inasema hivyo je ni kweli vipi kuhusu gharama alizotumia mama mtoto.......
Naomba kueleweshwa kuhusu kisheria haki ya baba mtoto kumchukua mtoto afikapo umri wa miaka saba (7). Utakuwa mama mtoto kamlea mtoto wake kwa shida sana na kwa kujinyima thn baada ya miaka saba (7) baba wa mtoto ndo anajitokeza kutaka kumchukua mtoto eti ndo sheria inasema hivyo je ni kweli vipi kuhusu gharama alizotumia mama mtoto.......