Kama Tanzania igekuwa na watu wenye uelewa mkubwa kitu walichokifanya Wa kina mbowe na washega wake chama chao kigekufa asubuhi tu
Maana haiwezekani unihubiri miaka minane kwamba lowassa ni mwizi, fisadi na alajihuzulu kwa kelele zenu,
Leo mnakuja tena munanieleza lowassa ni mtu mchapa kazi na siyo mwizi ndani ya miezi miwili.
Kama ni kweli lowassa siyo mwizi nitakwamini vipi tena kwa maana umeshaonyesha dalili za uongo mapema tu, kabla sijakupigia kura chama chako kiingie madarakani.
Nasikitika na kulia nimevuja miko yangu ya kutoipingia kura ccm katika maisha yangu yote
Kwa kutaka kuwaonyesha kwamba hili genge lenu LA kihuni hamchukui nchi mkoa wangu wa Shinyanga hamtoki hata na jimbo moja nahakikisha natumia nguvu na akili zangu zote kuhakikiasha nafanikisha hilo
Na ukawa mkitoka na jinbo hata moja mkoani kwangu haki ya Mungu najiua.
Ushauri kwa wana ccm na wazelendo Wa kweli katika chii hii kuhakikisha tunatumia nguvu zetu zote kuhakikisha kundi hili LA wanyan'ganyi na wapinga dili hawafiki ikulu kwa njia yoyote
Jamaa unauchungu weww
Kama Tanzania igekuwa na watu wenye uelewa mkubwa kitu walichokifanya Wa kina mbowe na washega wake chama chao kigekufa asubuhi tu
Maana haiwezekani unihubiri miaka minane kwamba lowassa ni mwizi, fisadi na alajihuzulu kwa kelele zenu,
Leo mnakuja tena munanieleza lowassa ni mtu mchapa kazi na siyo mwizi ndani ya miezi miwili.
Kama ni kweli lowassa siyo mwizi nitakwamini vipi tena kwa maana umeshaonyesha dalili za uongo mapema tu, kabla sijakupigia kura chama chako kiingie madarakani.
Nasikitika na kulia nimevuja miko yangu ya kutoipingia kura ccm katika maisha yangu yote
Kwa kutaka kuwaonyesha kwamba hili genge lenu LA kihuni hamchukui nchi mkoa wangu wa Shinyanga hamtoki hata na jimbo moja nahakikisha natumia nguvu na akili zangu zote kuhakikiasha nafanikisha hilo
Na ukawa mkitoka na jinbo hata moja mkoani kwangu haki ya Mungu najiua.
Ushauri kwa wana ccm na wazelendo Wa kweli katika chii hii kuhakikisha tunatumia nguvu zetu zote kuhakikisha kundi hili LA wanyan'ganyi na wapinga dili hawafiki ikulu kwa njia yoyote
Mkuu chadema yangu niipenda sana... Mkuu kila Nikita ushawishi akili imkubali lowassa nafisi inisuta na ninajuta sana kumshauri mzee wangu kujiunga na chadema mwaka Jana na akashida umwenyekiti Wa kitingoji kupitia chadema.
Naaapa mbele yako mkuu ambatombana benaba wakitoka na jumbo moja tu mkoani Shinyanga najiua. Haki ya mungu nasema
Naaapa mbele yako mkuu ambatombana benaba wakitoka na jumbo moja tu mkoani Shinyanga najiua. Haki ya mungu nasema
Mabadiliko ni kwa magufuli pekee
Eti mkoa wako wa shinyangam fyatu kweli wewe....
Eti mkoa wako wa shinyangam fyatu kweli wewe....
Hivi wewe aliyekwambia UKAWA wanataka kutoka ni nani UKAWA watabaki kila jimbo hadi ikulu ili waongoze nchi. Allowance za kupost huo upuuzi wenu zimepanda in these final 30 days.Kama Tanzania igekuwa na watu wenye uelewa mkubwa kitu walichokifanya Wa kina mbowe na washega wake chama chao kigekufa asubuhi tu
Maana haiwezekani unihubiri miaka minane kwamba lowassa ni mwizi, fisadi na alajihuzulu kwa kelele zenu,
Leo mnakuja tena munanieleza lowassa ni mtu mchapa kazi na siyo mwizi ndani ya miezi miwili.
Kama ni kweli lowassa siyo mwizi nitakwamini vipi tena kwa maana umeshaonyesha dalili za uongo mapema tu, kabla sijakupigia kura chama chako kiingie madarakani.
Nasikitika na kulia nimevuja miko yangu ya kutoipingia kura ccm katika maisha yangu yote
Kwa kutaka kuwaonyesha kwamba hili genge lenu LA kihuni hamchukui nchi mkoa wangu wa Shinyanga hamtoki hata na jimbo moja nahakikisha natumia nguvu na akili zangu zote kuhakikiasha nafanikisha hilo
Na ukawa mkitoka na jinbo hata moja mkoani kwangu haki ya Mungu najiua.
Ushauri kwa wana ccm na wazelendo Wa kweli katika chii hii kuhakikisha tunatumia nguvu zetu zote kuhakikisha kundi hili LA wanyan'ganyi na wapinga dili hawafiki ikulu kwa njia yoyote