Wanamichezo wenzangu naombatujiulize sh. millioni sita zinazolipwa kwa vilabu ligi kuu ya vodacom ni sawa?na vipi kuhusu mgao wa simba na yanga ambao wana washabiki lukuki, je mgao wao ni halali kuwa sawa na timu zingine?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.