Haka ndiko kabinti kangu...

Mie wangu nimejifanya nimezaliwa Vatican, namwambia my beautiful angel read the bible sijui vere gani? Akakutana na neno adultery, ghafla akaniuliza, Daddy, what is adultery? Nikamwambia keep reading I will explain later

Mbaya zaidi hivi karibuni walikua wanapiga story na mama yake akasema damu yake ni damu ya Dady sio ya Mom, sasa wife akataka kupima kama bado biology ipo, akamuuliza why the baby gets the blood from Dad? Nikainuka kwanza kama sifuatilii mazungumzo kumbe nasubiria jibu

Akaanza a baby is formed by exchange of saliva... How, akachuna kidogo huku anaona aibu akasema through kissing. Nikajua tu hapa tupo na mkubwa mwenzetu sema amechomekea tu.

Binti ana miaka nane ndio ikabidi nitoe semina elekezi kwa wife aanze kumpiga kipindi mambo ya ukubwa, asimchukulie tena kama mtoto.
 
Hivi binti wa miaka 9 anakua na matiti gani mpaka baba wa duka ashike kifuani, hii kamba nimeikataa bana labda matakoni huko ulikosema lakini kifuani UONGO

Watoto wanatofautiana maumbile mkuu.
Hapo hata kama anakashika vile vichwa vya nzi utajuaje kapten? Think global
 
Usimwache huyo mtu mzima h***o alyekosa adabu. Tena ashindwe kabisa. Binti miaka 9?? Kama sio laana ni nini? Jamani wakati mwingine inabidi kumwogopa Mungu!
kuna jamaa alikuwaga ananiambia eti Mh Mudi nae alichukuaga umri huo huo.
 
Na huenda hii nifaida kwa wazaz kuwa karb na watt watt weng wanaharibk na mzaz hujui kikubwa ukarb unaitajika na elim pia kwa watt
 
Najiuliza ingekuwa mtoto wa kiume wa miaka 9 kashikwa dushe na mama mtu mzima, mngetokwa na povu hili
 
Mtengeneze kisaikolojia mtoto wako kwa kumfanya kama rafiki yako sana kisha mwambie huyo mzee anania ya kumuharibia maisha sasa mwambie mtoto twende kituo cha polisi ili tukamsemehe. Ukifika polisi dawati la jinsia nenda kaombe ushauri na watashirikiana na wewe na mtoto kumuwekea mtego huyo mzee ili ushahidi uonekane bila ya kumuathiri ukuaji wa afya ya akili ya mtoto baada ya hapo sheria itafuata mkondo wake
 
Mkuu tupe mrejesho,nini hatua ulichukua na nini matokeo yake?
 
Ohooo !!!

MLETA MADA KAMA UPO HAI , MTOTO WAKO SAHIVI ANA MIAKA ZAIDI YA 18
Tupe mrejesho bado hajabanduliwa au bado hajaolewa maanaaa!????

Kama aliwahi kuanza shule basi atakuwa chuo mwaka wa kwanza now ...!!!


Maana zama zimebadilika ,hadi watoto wanapenda mashine.....
 

Mkuu mbona mtoto mwenyewe saivi kashakuwa jimama
 
Mkuu mbona mtoto mwenyewe saivi kashakuwa jimama
Duuuh harafu sikusoma tarehe ya uzi kumbe toka May 5 mwaka 2011 hawa waliocomment hivi karibuni ndio wameuamsha uzi nikafikiri ni tukio la hivi karibuni πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸƒπŸƒπŸƒπŸƒ
 
Haya mambo sio ya kuchukulia poa.
Kuna dada mmoja tulikuwa tunabanduana zamani ila tukaachana kwa njia ya amani baada ya yeye kupata mume.

Sasa mwaka 2016 mtoto wake wa miaka kama sio 5 alikuwa anakuja kucheza nyumbani na tulizoeana sana na huyo mtoto.

Kuna siku yule mtoto akiwa kwetu akawa anajifunua hapa tumboni halafu ananambia, na mimi vimti vimeanza kuota hapa tumboni, sikumjibu. Siku nyingine akarudia tena, hapo nikaamua kumpigia X wangu ambaye ni mama yake na huyo mtoto tukutane sehemu fulani tuongee.

Nilimuuliza kama huwa wanamuonesha mtoto tupu zao! akajibu hapana hawajawahi yeye wala mumewe.
Nikamuuliza anadhani mtoto wake ameshawahi kuona mavuzi ya mtu mzima! akasema hapana.
Je, amewahi kusikia mtoto akiongelea mavuzi? akakataa yote.

Nikamwambia afanye uchunguzi kwa kumuuliza mtoto wake kwa mitego, inaonesha amewahi kuona.
Na kweli baada ya uchunguzi wao walibaini kuna bwana mmoja huwa anamnyonya uchi yule mtoto halafu anajishika uume na akadakwa kwa mtoto mwingine.
Ni kwa mujibu wa mtoto.
 
Duuuh harafu sikusoma tarehe ya uzi kumbe toka May 5 mwaka 2011 hawa waliocomment hivi karibuni ndio wameuamsha uzi nikafikiri ni tukio la hivi karibuni
Dogo wa jamaa saivi ana nyundo 21 kasoro nadhani.. Kawa m'mama na nadhani yupo chuo au demu wa mtu saivi.
 
Ingekua mimi sijui saiv ningekua pale Segerea natumikia kifungoni au sijui ndiyo nakaribia kutoka, kwa kumfanyia mtu tukio baya sana katika history ya maisha. Nachukia sana kuona mwanaume anafukuzia vitoto vidogo hivi ambavyo hata havijui kufua nguo za ndani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…