Haka katoto katanitoa roho jamani.

Haka katoto katanitoa roho jamani.

benteke

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2014
Posts
1,305
Reaction score
1,069
Jamani kuna kabinti kameniloga sijui.

Kwa kweli sijui nini kimenikuta, kananigombeza hako! akinipigia simu nakimbia kama vile kuna bomu limerushwa ili tu asisikie kelele za sehemu niliyopo.

Yaani nimejikuta tu namuogopa. Sijawahi kwenda kwenye birthday lakini huwezi amini mpaka sasa ndani ya mwezi mmoja na nusu nimeshaudhuria kama sio sita basi saba.

Zote za mashost zake na nikienda nae navalishwa kimodo.
Mwenyewe benteke shati la zambarau suruali nyekundu na viatu vya njano au shati la rangi ya udhurungi kamtura rangi maji bahari na makobasi meusi na soksi nyeupe...hah,sina hamu.
 
Jamani kuna kabinti kameniloga sijui...kwa kweli sijui nini kimenikuta. kananigombeza hako....akinipigia simu nakimbia kama vile kuna bomu limerushwa ili tu asisikie kelele za sehemu niliyopo. Yaani nimejikuta tu namuogopa.Sijawai kwenda kwenye birthday lakini huwezi amini mpaka sasa ndani ya mwezi mmoja na nusu nshauzuria kama sio sita basi saba, zote za mashost zake na nikienda nae navalishwa kimodo......mwenyewe benteke shati la zambarau suruali nyekundu na viatu vya njano au shati la rangi ya udhurungi kamtura rangi maji bahari na makobasi meusi na soksi nyeupe...hah,sina hamu.

mkuu kwa mwendo huo mwaka huu utapona kweli?
 
Kalete kwangu nikaadabishe.kana bikra lakin maana hao watu nawajulia sana.
 
Shwari mkuu,kitambo kidogo mkuu ulikuwa kimya nikajua mzungu wako kashakunyakua kwenda mambele huko.

Hahahaha...mzungu kanichosha bwana. Alinifanya nitembee na panado mfukoni maan kichwa kilikua kinauma kila saa...kizungu kigumu sana
 
hahahahahahahah mahaba nivalisheeeee hayo twende kwenye birthday
 
Kwani hata ni kazuri basi Jembe..basi tu sijui ni nini. hana bikra bwana nikukula mara mbili tu

mkuu hayo matoto shida sana hala utakuta linakueka laudspika jinsi unavyoumauma meno shenz taip. halafu kuna lofa tu flan ndo kamezimikia huko hata kupigwa ngumi kanapigwa na bado kapo. dawa yake we mletee ukauzu hata kama unaumia
 
Back
Top Bottom