Haka katabia ka wadada kananikera sana!!!

Haka katabia ka wadada kananikera sana!!!

Amicus Curiae

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2012
Posts
5,352
Reaction score
7,662
Utakuta kuna dem umezoeana nae mkajikuta mmependana ila hakuna aliyemfungukia mwenzake, siku ikatokea mmekaa sehemu ya faragha kaka gheto mara ghafla mkajikuta mmeanza kukiss hadi kusex, afu mkimaliza hakuna anayemuongelesha mwenzake kila mmoja anasepa zake, itokee siku unataka kuomba penzi tena au umemtext "mambo mpenzi", utakuta anakujibu, "my dear it was just a mistake, haitakaa itokee tena tufanye mapenzi", we mpumbavu nn,,,kama ulikua unajua ni mistake kwanini upanue miguu tena kwa hiari bila kulazimishwa!!! Acheni hizo bwana, mnaboa!!!
 
ariff mbona unatokwa povu huku mwenyewe umesema hakuna aliyemfungukia mwenzake?!! umfungukie kwanza akupe confirmation..kuna tofauti kubwa kati ya kuvutiwa, kutamani na kupenda... weye kama unampenda usijiaminishe kugongesha cheers vikojoleo ndio uhusiano kamili, yupo sawa kukukata makavu, it was a mistake yes, kosa haliwi kosa mpaka litendeke.
if you are a real man with balls,utamwaga sera ueleweke usitegemee mazingira ya ghetto na mihemko ya mwili.
 
hukumchapa vizuri,one mistake one goal lol pole we,wenzio wanatumia hio golden chance kupagawisha
Seconded mkuu,
Jiuze siku iyo,
Weka mazingira ya kutafutwa!
Ila ukipiga ile ya ma.t.a.k.o matatu wareno hao kwanini usiambulie mitusi!
 
Kama kuna tatizo kubwa la usafiri hasa kwa wakazi wa dar unaweza kupanda gari lolote tu ili mradi ufike bila kujali lina seat au la, limejaza kiasi gani au lina usalama kiasi gani, hapo lengo ni kufika uendako kwa wakati, hapo haimaanishi ulilipenda ndio ukapanda. Kubaliana na mazingira kuwa ni sababu ya kufanya hata mambo usiyoyapenda au kuyapanga (Mistake).
 
ariff mbona unatokwa povu huku mwenyewe umesema hakuna aliyemfungukia mwenzake?!! umfungukie kwanza akupe confirmation..kuna tofauti kubwa kati ya kuvutiwa, kutamani na kupenda... weye kama unampenda usijiaminishe kugongesha cheers vikojoleo ndio uhusiano kamili, yupo sawa kukukata makavu, it was a mistake yes, kosa haliwi kosa mpaka litendeke.
if you are a real man with balls,utamwaga sera ueleweke usitegemee mazingira ya ghetto na mihemko ya mwili.

kweli kabisa
 
ariff mbona unatokwa povu huku mwenyewe umesema hakuna aliyemfungukia mwenzake?!! umfungukie kwanza akupe confirmation..kuna tofauti kubwa kati ya kuvutiwa, kutamani na kupenda... weye kama unampenda usijiaminishe kugongesha cheers vikojoleo ndio uhusiano kamili, yupo sawa kukukata makavu, it was a mistake yes, kosa haliwi kosa mpaka litendeke.
if you are a real man with balls,utamwaga sera ueleweke usitegemee mazingira ya ghetto na mihemko ya mwili.

Afu abadilishe heading yake hpo maaana haisadifu hata kidogo
 
ah ulikosea siku ile ulitakiwa umle na tigo kabisa
 
Utakuta kuna dem umezoeana nae mkajikuta mmependana ila hakuna aliyemfungukia mwenzake, siku ikatokea mmekaa sehemu ya faragha kaka gheto mara ghafla mkajikuta mmeanza kukiss hadi kusex, afu mkimaliza hakuna anayemuongelesha mwenzake kila mmoja anasepa zake, itokee siku unataka kuomba penzi tena au umemtext "mambo mpenzi", utakuta anakujibu, "my dear it was just a mistake, haitakaa itokee tena tufanye mapenzi", we mpumbavu nn,,,kama ulikua unajua ni mistake kwanini upanue miguu tena kwa hiari bila kulazimishwa!!! Acheni hizo bwana, mnaboa!!!

Utakuwa na kibamia tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom