Ikumbukwe 25/02/2017.. katika dimba la Taifa Stadium.. Mnyama Mkali mwituni, Simba SC atakua akipambana na Ndala katika mechi ya mzunguko wa 2 wa VPL. Mda mfupi uliopita, msemaji wa Simba SC, Haji Manara kaandika haya katika ukurasa wake wa Instagram.. juu ya mechi hiyo;
Mwisho wa kumnukuu.. Asanteni.
aendelee na takwimu zake uchwara,aseme simba ndo imecheza michezo mingi zaidi Yao.pia simba imefunga magoli mengi zaidi Yao.mambo ya manji hayahusiani na mechiIkumbukwe 25/02/2017.. katika dimba la Taifa Stadium.. Mnyama Mkali mwituni, Simba SC atakua akipambana na Ndala katika mechi ya mzunguko wa 2 wa VPL. Mda mfupi uliopita, msemaji wa Simba SC, Haji Manara kaandika haya katika ukurasa wake wa Instagram.. juu ya mechi hiyo;
Mwisho wa kumnukuu.. Asanteni.
Yeye kazungumza takwimu alizonazo mpaka sasa.. wewe unaweza ukaja na hizo takwimu zingine alizoziacha.aendelee na takwimu zake uchwara,aseme simba ndo imecheza michezo mingi zaidi Yao.pia simba imefunga magoli mengi zaidi Yao.mambo ya manji hayahusiani na mechi
Ninaposoma comments zako mtani nafarijika sana tatizo ni baada ya dakika 90 hapo tarehe 25 utaenda eneo korofi kukupata tena ni majaaliwaMkuu, jana tumecheza Mpira.. tumegagadua ipasavyo African Lyon.. na kutinga hatua ya robo fainali kombe la shirikisho.. Leo tunaweka maneno.
atapotea huyu jamaa akifungwaNinaposoma comments zako mtani nafarijika sana tatizo ni baada ya dakika 90 hapo tarehe 25 utaenda eneo korofi kukupata tena ni majaaliwa
Kuhusu haji hana tofauti na el sahaf yule msemaji wa saadam husein katika gulf war alikuwa na mkwara sana mwisho wa siku unajulikana .
Wala hachelewi huyu tunamjua vizuri walipokosa kombe lao la mapinduzi aliupaka kama wiki mbili nzima.atapotea huyu jamaa akifungwa[\b]