kijazi07
JF-Expert Member
- Feb 14, 2016
- 1,036
- 2,238
Aseeh wanawake wanawake [emoji1311] miez mitatu sasa imepita toka nilipo enda moro kumtembelea mamdog nili kaa wiki mbili pale kwake nikapata wasaa wa kumkanyagaa mtto mmoja wa pale mtaani nilimkanyaga mara 3 basi tumeendelea kuwasiliana kwa kipind chote iko hajawah nambia kama alishika ujauzito na ukizingatia sikuwa nawaza swala hilo coz mara zote tulitumia condom basi bana majuzi katoa mimba kutumia dawa katoka na dam nying mno kiasi cha kupeleka kupoteza fahamu kaja kupata fahamu huko akaulizwa niya nan na nan kamshauri akanitaja mm
Sasa iv nimepigiwa simu naelekea moro kizur chat zote nilizo chat nae sijafutaga zipo ila bado najiuliza watanielewa vip mm yan napanga nianze wap sielew duhh
Msichana anamika 26 amehitimu UDSM yupo home tu
Naomben msaada njia ya busara kujitetea wakubwa na wadogo zangu
Sasa iv nimepigiwa simu naelekea moro kizur chat zote nilizo chat nae sijafutaga zipo ila bado najiuliza watanielewa vip mm yan napanga nianze wap sielew duhh
Msichana anamika 26 amehitimu UDSM yupo home tu
Naomben msaada njia ya busara kujitetea wakubwa na wadogo zangu