haja ya kijani

Billie

JF-Expert Member
Aug 13, 2011
12,726
19,874
Je mtoto mchanga kujisaidia haja ya kijani ni ugonjwa au nini?Kama ni ugonjwa unasababishwa na nini?
 
Je mtoto mchanga kujisaidia haja ya kijani ni ugonjwa au nini?Kama ni ugonjwa unasababishwa na nini?

Kwa kawaida haja huwa inakuwa ya manjano au kijani hivi au udongo udongo...hii inatokana na rangi ya nyongo ambayo mara ningi ndio hutoa hiyo rangi. Ni mtoto mchanga, sitegemei kuwa amekula mboga za majani (au amekula, natagenmea atakuwa anayonya maziwa ya mama tu). Ila rangi ya kijani ni rangi ya kawaida ya choo, na si hali ya kutisha.
 
Back
Top Bottom