Amavubi
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 30,156
- 13,267
Jamaa alifika sehemu ya kujisaidia kwa malipo na kuona bango limeandikwa bei tajwa hapo juu, kwa kuwa alipofika hakumkuta mhudumu na kwa kuwa alikua amezidiwa sana akaamua kujitosa mojakwa moja, wakati wa kutoka ndipo akakutana na mhudumu na kumkabidhi shilingi 300/=, ndipo songombingo likaanza
Mhudumu: kwa nini unatoa mia tatu?
Mteja : NImekwenda HAJA KUBWA
Mhudumu: Ongeza 200 kwani haiwezekani kwenda HAJA KUBWA BILA HAJA NDOGO
Mteja: Haiwezekani kwa sababu ww mwenyewe umeandika haja kubwa 300/=
Unadhani nani yuko sahihi?
Mhudumu: kwa nini unatoa mia tatu?
Mteja : NImekwenda HAJA KUBWA
Mhudumu: Ongeza 200 kwani haiwezekani kwenda HAJA KUBWA BILA HAJA NDOGO
Mteja: Haiwezekani kwa sababu ww mwenyewe umeandika haja kubwa 300/=
Unadhani nani yuko sahihi?