ward41
JF-Expert Member
- Apr 3, 2022
- 749
- 2,540
yuma ya tawala mbalimbali za dunia, kuna nguvu inayotenda kazi kisirisiri. Direction ya dunia inatokana na hii nguvu.
Hapa duniani tupata matokeo tu. Hii nguvu ndiyo yenye mamlaka ya nani aongoza dunia. Au taifa gani lipewe nguvu ya kuongoza dunia. Mambo yote Yanapangwa na hii nguvu.
Mipango yote ya viongozi wa dunia hii kujaribu kupanga mikakati Yao kinyume na hii nguvu inafeli. Mfano ni baadhi ya mataifa kufanya mikakati yao ya kuongoza dunia kinyume na hii nguvu inafeli vibaya. Majuzi tu hapa kwenye mkutano wa BRICS, viongozi wamejaribu kutambulisha SARAFU mpya ya BRICS ili iondowe utawala wa Dollar. Hiyo itafeli. USD Itaendelea kuwa na nguvu.
Tusijisumbuwe, Dollar bado IPO, USA bado IPO sana.
Ufalme wa MAREKANI una mizizi milefu sana kung'olewa ni ngumu sana.
Hapa duniani tupata matokeo tu. Hii nguvu ndiyo yenye mamlaka ya nani aongoza dunia. Au taifa gani lipewe nguvu ya kuongoza dunia. Mambo yote Yanapangwa na hii nguvu.
Mipango yote ya viongozi wa dunia hii kujaribu kupanga mikakati Yao kinyume na hii nguvu inafeli. Mfano ni baadhi ya mataifa kufanya mikakati yao ya kuongoza dunia kinyume na hii nguvu inafeli vibaya. Majuzi tu hapa kwenye mkutano wa BRICS, viongozi wamejaribu kutambulisha SARAFU mpya ya BRICS ili iondowe utawala wa Dollar. Hiyo itafeli. USD Itaendelea kuwa na nguvu.
Tusijisumbuwe, Dollar bado IPO, USA bado IPO sana.
Ufalme wa MAREKANI una mizizi milefu sana kung'olewa ni ngumu sana.