Haiwezekani BASATA kuvunjwa?

Haiwezekani BASATA kuvunjwa?

maroon7

JF-Expert Member
Joined
Nov 3, 2010
Posts
11,341
Reaction score
15,829
Wakuu naomba kuuliza kama inawezekana kuvunja hili linaloitwa baraza la sanaa la taifa maana toka nimelijua sijawahi kuona juhudi zozote walizofanya juu ya sanaa nchini zaidi ya kuididimiza. Ninachoamini kazi ya regulator huwa sio kudidimiza bali kuboresha.Sasa sijawahi kuona juhudi zozote za kuboresha sanaa nchini,sii filamu,ndondi,mziki wala ngoma.
Natoa ushauri kwa mamlaka husika zilivunje hili baraza na badala yake waunde kitu chenye tija na sio kujaza watu wenye upeo mdogo juu ya sanaa hasa ya kizazi hiki.
 
Wakuu naomba kuuliza kama inawezekana kuvunja hili linaloitwa baraza la sanaa la taifa maana toka nimelijua sijawahi kuona juhudi zozote walizofanya juu ya sanaa nchini zaidi ya kuididimiza. Ninachoamini kazi ya regulator huwa sio kudidimiza bali kuboresha.Sasa sijawahi kuona juhudi zozote za kuboresha sanaa nchini,sii filamu,ndondi,mziki wala ngoma.
Natoa ushauri kwa mamlaka husika zilivunje hili baraza na badala yake waunde kitu chenye tija na sio kujaza watu wenye upeo mdogo juu ya sanaa hasa ya kizazi hiki.
Wewe ndo unaona halina kazi sisi wengine kazi zake tunazijua tatizo unakurupuka kuandika nkikwambia ntajie kazi 3 tu za Basata na uhakika hautataja
 
Wewe ndo unaona halina kazi sisi wengine kazi zake tunazijua tatizo unakurupuka kuandika nkikwambia ntajie kazi 3 tu za Basata na uhakika hautataja
Wewe uliyesema unajua tuambie hapa nini basata imefanya kuinua sanaa hata moja hapa nchini. Sio unaleta ushabiki tu,soma uzi uuelewe.
 
Naunga mkon hoja

Sijawahi on faida ya BASATA,,wanamziki wanaibiwa kazi zao kila kukicha,, wanaangalia tu,hao wasanii(bongo movee) kila siku matusi mitandoni wao wapo tu,,

Nahaisi wanakosa watu weneye utaalam kwenye hiyo tasnia,,
 
Watu tumeomba basata ivunjwe kitambo tu toka waanze kumfungia ney kisa kuchana watu..
Tangu lini ukazuia wasanii/wanahiphop kuacha kuchana viongozi na wao kwa wao??

Basata ni mkusanyiko wa wazee waalio na mambo ya ajabu ambao kazi zao ni kufanya mambo ya ajabu ajabu
 
kuvunjwa siyo kuondoa matatizo bali ni kuliboresha zaidi ili liweze kuenenda kutokana na mabadiliko ya sasa na pia unaweza kutoa mchango wako wa mawazo ni wapi wanatakiwa kuboresha ili kulijenga kuwa bora zaidi ktk kuleta ufanisia katia tasnia hii kubwa ya sanaa hapa nchini, ila wazo lako la kulivunja hapana bali liboreshwe zaidi kimfumo na kiutendaji
Tembelea Bolg yao hapa BARAZA LA SANAA LA TAIFA - BASATA
 
Sasa unaniuliza mimi?tatizo mnakurupuka hausomi hata kazi za Taasisi za serikali wewe unahisi kwa nini Basata hadi sasa bado ipo na inafanya kazi na inatambulika kisheria?nyie watoto wa Juzi hii ndo shda yenu kubwa kukurupuka
Wewe uliyesema unajua tuambie hapa nini basata imefanya kuinua sanaa hata moja hapa nchini. Sio unaleta ushabiki tu,soma uzi uuelewe.
 
Wakuu naomba kuuliza kama inawezekana kuvunja hili linaloitwa baraza la sanaa la taifa maana toka nimelijua sijawahi kuona juhudi zozote walizofanya juu ya sanaa nchini zaidi ya kuididimiza. Ninachoamini kazi ya regulator huwa sio kudidimiza bali kuboresha.Sasa sijawahi kuona juhudi zozote za kuboresha sanaa nchini,sii filamu,ndondi,mziki wala ngoma.
Natoa ushauri kwa mamlaka husika zilivunje hili baraza na badala yake waunde kitu chenye tija na sio kujaza watu wenye upeo mdogo juu ya sanaa hasa ya kizazi hiki.
Na kwa nini uandike leo na sio siku zote kuhusu kuvunjwa kwa Basata ?kisa WCB?we unaona nyimbo ya WCB ipo sawa?sisi wazazi tunapongeza hyo nyimbo kufutwa na wapigwe faini bila hvyo kuna siku wataimba Ushoga na utasapot kisa wewe ni kizazi cha WCB kwa hili Basata nawapongeza
 
Sasa unaniuliza mimi?tatizo mnakurupuka hausomi hata kazi za Taasisi za serikali wewe unahisi kwa nini Basata hadi sasa bado ipo na inafanya kazi na inatambulika kisheria?nyie watoto wa Juzi hii ndo shda yenu kubwa kukurupuka
Huna hoja,unaniita mtoto wa juzi halafu wewe mtu mzima unashindwa kuweka hoja ya nini basata wamefany kupromote sanaa. Ni sawa na useme BOT ambaye ni regulator wa taasisi ya kifedha awe na kazi ya kufungia tu hizo taasisi bila kufanya lolote kuzipromote
 
Na kwa nini uandike leo na sio siku zote kuhusu kuvunjwa kwa Basata ?kisa WCB?we unaona nyimbo ya WCB ipo sawa?sisi wazazi tunapongeza hyo nyimbo kufutwa na wapigwe faini bila hvyo kuna siku wataimba Ushoga na utasapot kisa wewe ni kizazi cha WCB kwa hili Basata nawapongeza
Hili la WCB ni maoni yako yanayoendana na hisia za matukio.
 
Na kwa nini uandike leo na sio siku zote kuhusu kuvunjwa kwa Basata ?kisa WCB?we unaona nyimbo ya WCB ipo sawa?sisi wazazi tunapongeza hyo nyimbo kufutwa na wapigwe faini bila hvyo kuna siku wataimba Ushoga na utasapot kisa wewe ni kizazi cha WCB kwa hili Basata nawapongeza
NYEGE NI KUNYEGEZANA
NYEGEZA NIKUNYEGEZE.
Mwandishi Amiri A. S. Andanenga (Sauti ya Kiza)
Peni yangu Andanenga, uwino unapotona
Mantiki huzilenga, na balagha na bayana
Hufaidika malenga, huvurugika akina,
Nyege ni kunyegezana, msemo wa Kiswahili.

Msemo wa Kiswahili, nyege ni kunyegezana,
Maana yaki kamili, “wema ni kutendeana’,
Wasiojua fasili, hunamba nimetukana,
Nyege ni kunyegezana, msemo wa Kiswahili.

Ni msemo maarufu, ambao shaka hauna,
Kwenye kamusi sanifu, funueni mtaona,
Niwezeje kukashifu, nami mwana muungwana!
Nyege ni kunyegezana, msemo wa Kiswahili.

Ninataja ukurasa, wazi hapa naunena,
Soma mbili moja tisa, soma bila ya fitina,
Msemo siyo wa sasa, si juzi licha wa jana,
Nyege ni kunyegezana, msemo wa Kiswahili.
 
NYEGE NI KUNYEGEZANA
NYEGEZA NIKUNYEGEZE.
Mwandishi Amiri A. S. Andanenga (Sauti ya Kiza)
Peni yangu Andanenga, uwino unapotona
Mantiki huzilenga, na balagha na bayana
Hufaidika malenga, huvurugika akina,
Nyege ni kunyegezana, msemo wa Kiswahili.

Msemo wa Kiswahili, nyege ni kunyegezana,
Maana yaki kamili, “wema ni kutendeana’,
Wasiojua fasili, hunamba nimetukana,
Nyege ni kunyegezana, msemo wa Kiswahili.

Ni msemo maarufu, ambao shaka hauna,
Kwenye kamusi sanifu, funueni mtaona,
Niwezeje kukashifu, nami mwana muungwana!
Nyege ni kunyegezana, msemo wa Kiswahili.

Ninataja ukurasa, wazi hapa naunena,
Soma mbili moja tisa, soma bila ya fitina,
Msemo siyo wa sasa, si juzi licha wa jana,
Nyege ni kunyegezana, msemo wa Kiswahili.
Sibishani na wanuka Maziwa
 
Back
Top Bottom