Haipingiki: Hii ndio Top 10 ya binadamu wanaochukiwa zaidi Tanzania kwa sasa

mimi binafsi namba moja kwenye list yangu ni bwana spika "kazi" wa kule mjengoni toka alipomcharaza bakora mwanaume mwenzake mbele ya hadhara nikawa namtathmini huyu ni binadamu wa aina gani nilipokuja kushuhudia madudu yake tena mjengoni nikapata jibu kamili... hii nchi inaendeshwa kikoloni sana strategies walizotumia kuwabana wapinzani, waandishi, wafanya biashara zipo wazi wazi kabisa na zinaashiria kwamba kuna mtu anataka kufanya anavyotaka bila kukosolewa(yaani kufanyia experiement mbali mbali kwa pesa za wanyonge, experiement ambazo nyingi zinabackfire).. hatukatai kwamba sometime anafanya mazuri ila kwa asilimia kubwa hali imekuwa mbaya sana kwa wananchi na bwana mkulu hataki kusikia anazidi kukanyagia tu bila kujali wananchi wanataka nini.. nawatakia uchaguzi mwema mi nipo bize nasort my life
 
Wange chukiwa wasingevumilia, sema wewe huwapendi, au unawachukia ila huna cha kuwa fanya! kama mimi nisivo mpenda Jiwe!

kwa nini unakuwa mnafiki ivo? kwani wewe nguvu ya Msiba hujui inatoka kwa Rais Jiwe? kwa hiyo na wewe tukuchukie kwa sababu ya unafiki wako huu?

Tangu zama viongozi na wenye mamlaka hawapendwi! na huwezi kupendwa na wooote! hata Baba yako yule mlevi, humpendi km una vompenda Mama yako! mwenye hela kwenye familia atapendwa wewe utatumwa voucher dukani hata km ni mkubwa!

Ilisha tabiliwa miaka miiingi sana huko nyuma, tena kwa kauli ya Mungu mwenyewe kuwa ''si kila aniitaye Bwana bwana ataingia ktk ufalme wa Mbinguni''.

Ina maana kuna wanafiki, washenzi, na wasio mpenda wala kumuamini Mungu mpaka leo wapo. tena wanasema waziwazi ''hakuna Mungu, Biblia ni uzushi tu'', navoongea na wewe hapa wako hapo ulipo!

Yesu hakukosea lolote hapa Duniani lkn walimchukia watu wakamdhalilisha mchana kweupeee! hata nguvu asilia za Jua hazikuvumilia, Nuru ikatiwa giza ghafla, mizaa mizaa na kejeli vikakoma palepale! akabaki Yesu mwenyewe!

Inaonekana una tamaa sana ya kupedwa, mimi siyo Lumumba but nakupa ushauri, Dunia hii ya leo haikufai utapata taabu sana kijana! huwezi kupendwa na kila mutu sawa! ''funguka! tende kazi!''
 
Angalizo: Huu ni utafiti (usio rasmi) nilioufanya kwa muda mrefu kutoka katika jamii inayonizunguka na kwa kiasi kikubwa kutoka katika mitandao ya kijamii ikiwemo hii JamiiForums.

Kwanza, Mtu ili apendwe yampasa afanye mambo yanayoipendeza jamii, awe na upendo kwa wengine, asiwe na ubaguzi wa aina yoyote, afuate sheria na taratibu zilizowekwa (Katiba husika), na mwisho kabisa aepuke "kujimwambafai". Mtu akifanya kinyume na hayo, jamii humchukia na kumpuuza kwani anakuwa amevunja miiko na utaratibu wa jamii yake hivyo, watu watapunguza mapenzi kwake.

Kwa hapa kwetu Bongo kuna watu wametokea kuchukiwa sana kutokana na matendo yao yanayotia mashaka na yanayokarahisha kundi kubwa la jamii ya watu wa bongo. Hawa watu ni wababe, ni wabaguzi, ni waonevu, na mbaya zaidi wamejimwambafai (Kwa sauti ya upole ya Mzee JK) kwa sababu ya nafasi na hadhi zao katika jamii zao. List yenyewe ni hii ifuatayo:-

(10). RPC Mambosasa: huyu ni kamanda wa jeshi la polisi kanda maalum ya Dar es Salaam. Huyu udhaifu wake ni kushindwa kufanya kazi kisheria na kusimamia haki ipasavyo. Double standards zimeharibu mvuto wake katika jamii, kwani nani amesahau yale madudu yaliyotokea hadi binti Akwelina akauliwa hadharani na askari wa jeshi la polisi na ushahidi ukakosekana katika mazingira yaliyoonekana kuwa ni planned? Kuanzia pale Watu walipoteza imani na utendaji kazi wake.

(9). Mwigulu Nchemba:- huyu aliwahi kuwa waziri wa mambo ya ndani ya nchi. Ni katika kipindi chake mambo mengi ya uhalifu na uonevu yalitamalaki. Watu walitekwa, walibambikiziwa kesi na wengine waliuawa na kutupwa mitoni na baharini. Ni wakati wa uongozi wake ambapo binti Akwelina alikufa kifo cha kinyama kwa kupigwa risasi na askari polisi ambao wapo chini ya wizara yake. Chakushangaza bwana huyu alikaa kimya na waliopaza sauti aliwakejeli waziwazi akitetea uovu unaondelea ila mwishowe alitumbuliwa kwa aibu. Nani atakupenda kwa hali hii?

(8). David Lusinde A.K.A Kibajaji:- kama sijakosea huyu ni mbunge wa Mtera (CCM). Huyu bwana mkubwa analiaibisha Bunge kwani hoja zake "tata" zinatia mashaka juu ya uimara na umakini wa wawakilishi wa wananchi bungeni hasa hawa wa CCM. Huyu ni mzee wa porojo, mipasho, ubaguzi na kejeli kwa wenzake hasa wa upande wa upinzani hata kwenye hoja za msingi zenye kujenga yeye huchomekea mipasho na kejeli zake. Watu Werevu hawawezi kumkubali huyu jamaa.

(7). William Malecela (LeMutuz):- Kwakweli huyu mzeekijana hapendwi na watu wengi. Mambo anayofanya kwa umri wake yanatia mashaka juu ya uimara wa fikra zake. Kwanza ni mzee wa vitoto (hiyo sio ishu sana), mbaya zaidi anapenda show offs za kitoto. Siku hizi naye amegeuka kuwa spika ya Lumumba na kijana wake Makonda. Ni mbishi sana na anatetea hata mambo ya hovyo ilimradi tu atete tumbo lake. Tembelea kurasa za huyu bwana na utayaona yote haya.

(6). Jerry Muro:- Mkuu wa Wilaya ya Arumeru hahaha!...this guy is something else! Jamaa anapenda sifa sana na ana dharau zilizopitiliza hata kwa waliompita umri. Kila anachofanya bwana Jerry, watu (hasa wa mitandaoni) wanakipinga vibaya mno kwani mambo yake mengi anayofanya hayaakisi weledi na cheo chake cha ukuu wa wilaya. Ni mbaguzi sana, hana staha, ana majivuno na anapenda kujimwambafai bila sababu ya msingi.

(6). Alex Mnyeti:- RC wa Manyara mwenye kauli tata zenye kuleta mgawanyiko katika jamii. Huyu bwana hana mshipa wa aibu 😂😂😂(nadhani wale wenzangu na mimi mshanielewa).

(4). Ally Happy :- Kijana huyu aliutwaa uaRC wa Iringa kimasihara baada ya kufanya vitimbi/vimbwangwa vingi pale Kinondoni. Huyu jamaa ni gwiji wa sifa na ufahari usio na maana. Ana chuki za waziwazi kwa kundi fulani la watu na huzionesha chuki zake waziwazi bila uficho. Amelewa madaraka!!!

(2). Cyprian Musiba:-.kwanini akosekane huyu bwana? Huyu amechafua hali ya hewa vibaya sana maana mpaka Vigogo hawajui itokako nguvu ya huyu bwana. Huyu jamaa hana aibu, haogopi na ana moyo mgumu (roho mbaya) kwa ameongoza katika kuwachafua watu kwa mgongo wa uwanaharakati wa kumtetea rais. In short hii ni spika ya redio iliyojificha mahali fulani. Anachukiwa mno!!

(1). Paul Makonda:- 😂😂Ladies and Gentlemen namtambulisha kwenu kinara wa listi hii bwa Paulo. Huyu hastahili kuelezewa sana maana aliyofanya na anayoendelea kufanya yanatia mashaka juu ya uhusiano wake na Mheshimiwa sana. Kiufupi Paulo hupendwi ndugu yangu au pengine watu wanakuonea wivu? Mimi sijui kwakweli!

Nimalizie kwa kuwashauri hawa watu kuwa bado nafasi wanayo, Watanzania ni wasahaulifu na wasamehefu. Wakifanya mema watapewa thamani na kupendwa kama wengine.

NB: JF is where we dare to talk openly. Let's be open.
(0)Jiwe: Huyu anaiharibu nchi bila watanzania wengi kuelewa kinachoendelea. Ni mkabila
, mkanda na anapenda sifa mno. Hana utaratibu au kanuni za uongozi bali matamshi yake ndio kanuni za siku hiyo.
 
Angalizo: Huu ni utafiti (usio rasmi) nilioufanya kwa muda mrefu kutoka katika jamii inayonizunguka na kwa kiasi kikubwa kutoka katika mitandao ya kijamii ikiwemo hii JamiiForums.

Kwanza, Mtu ili apendwe yampasa afanye mambo yanayoipendeza jamii, awe na upendo kwa wengine, asiwe na ubaguzi wa aina yoyote, afuate sheria na taratibu zilizowekwa (Katiba husika), na mwisho kabisa aepuke "kujimwambafai". Mtu akifanya kinyume na hayo, jamii humchukia na kumpuuza kwani anakuwa amevunja miiko na utaratibu wa jamii yake hivyo, watu watapunguza mapenzi kwake.

Kwa hapa kwetu Bongo kuna watu wametokea kuchukiwa sana kutokana na matendo yao yanayotia mashaka na yanayokarahisha kundi kubwa la jamii ya watu wa bongo. Hawa watu ni wababe, ni wabaguzi, ni waonevu, na mbaya zaidi wamejimwambafai (Kwa sauti ya upole ya Mzee JK) kwa sababu ya nafasi na hadhi zao katika jamii zao. List yenyewe ni hii ifuatayo:-

(10). RPC Mambosasa: huyu ni kamanda wa jeshi la polisi kanda maalum ya Dar es Salaam. Huyu udhaifu wake ni kushindwa kufanya kazi kisheria na kusimamia haki ipasavyo. Double standards zimeharibu mvuto wake katika jamii, kwani nani amesahau yale madudu yaliyotokea hadi binti Akwelina akauliwa hadharani na askari wa jeshi la polisi na ushahidi ukakosekana katika mazingira yaliyoonekana kuwa ni planned? Kuanzia pale Watu walipoteza imani na utendaji kazi wake.

(9). Mwigulu Nchemba:- huyu aliwahi kuwa waziri wa mambo ya ndani ya nchi. Ni katika kipindi chake mambo mengi ya uhalifu na uonevu yalitamalaki. Watu walitekwa, walibambikiziwa kesi na wengine waliuawa na kutupwa mitoni na baharini. Ni wakati wa uongozi wake ambapo binti Akwelina alikufa kifo cha kinyama kwa kupigwa risasi na askari polisi ambao wapo chini ya wizara yake. Chakushangaza bwana huyu alikaa kimya na waliopaza sauti aliwakejeli waziwazi akitetea uovu unaondelea ila mwishowe alitumbuliwa kwa aibu. Nani atakupenda kwa hali hii?

(8). David Lusinde A.K.A Kibajaji:- kama sijakosea huyu ni mbunge wa Mtera (CCM). Huyu bwana mkubwa analiaibisha Bunge kwani hoja zake "tata" zinatia mashaka juu ya uimara na umakini wa wawakilishi wa wananchi bungeni hasa hawa wa CCM. Huyu ni mzee wa porojo, mipasho, ubaguzi na kejeli kwa wenzake hasa wa upande wa upinzani hata kwenye hoja za msingi zenye kujenga yeye huchomekea mipasho na kejeli zake. Watu Werevu hawawezi kumkubali huyu jamaa.

(7). William Malecela (LeMutuz):- Kwakweli huyu mzeekijana hapendwi na watu wengi. Mambo anayofanya kwa umri wake yanatia mashaka juu ya uimara wa fikra zake. Kwanza ni mzee wa vitoto (hiyo sio ishu sana), mbaya zaidi anapenda show offs za kitoto. Siku hizi naye amegeuka kuwa spika ya Lumumba na kijana wake Makonda. Ni mbishi sana na anatetea hata mambo ya hovyo ilimradi tu atete tumbo lake. Tembelea kurasa za huyu bwana na utayaona yote haya.

(6). Jerry Muro:- Mkuu wa Wilaya ya Arumeru hahaha!...this guy is something else! Jamaa anapenda sifa sana na ana dharau zilizopitiliza hata kwa waliompita umri. Kila anachofanya bwana Jerry, watu (hasa wa mitandaoni) wanakipinga vibaya mno kwani mambo yake mengi anayofanya hayaakisi weledi na cheo chake cha ukuu wa wilaya. Ni mbaguzi sana, hana staha, ana majivuno na anapenda kujimwambafai bila sababu ya msingi.

(6). Alex Mnyeti:- RC wa Manyara mwenye kauli tata zenye kuleta mgawanyiko katika jamii. Huyu bwana hana mshipa wa aibu (nadhani wale wenzangu na mimi mshanielewa).

(4). Ally Happy :- Kijana huyu aliutwaa uaRC wa Iringa kimasihara baada ya kufanya vitimbi/vimbwangwa vingi pale Kinondoni. Huyu jamaa ni gwiji wa sifa na ufahari usio na maana. Ana chuki za waziwazi kwa kundi fulani la watu na huzionesha chuki zake waziwazi bila uficho. Amelewa madaraka!!!

(2). Cyprian Musiba:-.kwanini akosekane huyu bwana? Huyu amechafua hali ya hewa vibaya sana maana mpaka Vigogo hawajui itokako nguvu ya huyu bwana. Huyu jamaa hana aibu, haogopi na ana moyo mgumu (roho mbaya) kwa ameongoza katika kuwachafua watu kwa mgongo wa uwanaharakati wa kumtetea rais. In short hii ni spika ya redio iliyojificha mahali fulani. Anachukiwa mno!!

(1). Paul Makonda:- Ladies and Gentlemen namtambulisha kwenu kinara wa listi hii bwa Paulo. Huyu hastahili kuelezewa sana maana aliyofanya na anayoendelea kufanya yanatia mashaka juu ya uhusiano wake na Mheshimiwa sana. Kiufupi Paulo hupendwi ndugu yangu au pengine watu wanakuonea wivu? Mimi sijui kwakweli!

Nimalizie kwa kuwashauri hawa watu kuwa bado nafasi wanayo, Watanzania ni wasahaulifu na wasamehefu. Wakifanya mema watapewa thamani na kupendwa kama wengine.

NB: JF is where we dare to talk openly. Let's be open.
Unamsahau ole sabaya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom