Not Machamuli! Ni Salvatory Machemli! We are still working out to find the updates! Get well soon Makamanda.Viva CDM.
Wana JF waheshimiwa makamanda wa mwanza walipigwa transfer toka bugando mpaka muhimbili, tupeni taarifa zao sasa wanaendeleaje? maana ushindi mtamu unatufanya kama tunawasahau vile!! pls mwenye habari zao wanaendeleaje mwaga hapa watu tutulie.
Nawasilisha.