Kimbunga
Platinum Member
- Oct 4, 2007
- 14,941
- 9,948
Hiyo ni criminal. Mojawapo ya test ni pamoja na kwamba fine inalipwa kwa jamhuri na wala siyo aliyepigwa. Pia mshitaki alikuwa jamhuri na si aliyepigwa.Wewe ndiye hujitambui, ukisikia kesi ya kupiga na mtu kahukumiwa kwenda jela bado unawaza kesi ya madai, mgogoro wa ardhi au mirathi?
Aliyepigwa anaweza fungua kesi ya madai na kuomba alipwe fiadia.