Kwani ww dogoDuu sio umekosea jukwaa haya si mambo ya kikubwa ?
Kuna jukwaa la wakubwa humu BitozKwani ww dogo![]()
Mbona silijui...Members only ?Kuna jukwaa la wakubwa humu Bitoz
Teh teh members only ndio na unavyo wakandia wakongwe sijui kama watakuruhusu ufike hukoMbona silijui...Members only ?
Mbona nipo sijaona kitu "kikubwa" au cjui milangoTeh teh members only ndio na unavyo wakandia wakongwe sijui kama watakuruhusu ufike huko
Teh teh ndio maana nikakuambia umewachana wakongwe kabla hujajua viunga vyote vya jamii forum ,kuna mlango wa kuingilia huko kwa wakubwaMbona nipo sijaona kitu "kikubwa" au cjui milango
Sina bifu na wakongwe bali ni baadhi tu wanaotuzingua kule Chit chat
Hahaha..kumbe lkn invisible ananikubali mbona.....me ht nisipofika hilo jukwaa poa tu sipendi kuchekicheki "matuc"...Teh teh ndio maana nikakuambia umewachana wakongwe kabla hujajua viunga vyote vya jamii forum ,kuna mlango wa kuingilia huko kwa wakubwa
Teh teh sawa BitozHahaha..kumbe lkn invisible ananikubali mbona.....me ht nisipofika hill jukwaa poa tu sipendi kuchekicheki "matuc"...
haya sio matusi mkuu.Hahaha..kumbe lkn invisible ananikubali mbona.....me ht nisipofika hilo jukwaa poa tu sipendi kuchekicheki "matuc"...
Ila kuwazawaza hayo tu inasababisha saratani ya kununua madadapoahaya sio matusi mkuu.
huu ndio ukubwa wenyewe
Teh teh mkuu endelea tu kutuma maombi wale jamaa nadhani kuna analysis wanazifanya na sijui ni zipi ila atafutaye hachoki pambana tu watakuelewa