HAHAHAHA NENO MOJA KWA MDAU CHUMVINI

HAHAHAHA NENO MOJA KWA MDAU CHUMVINI

Salahan

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2014
Posts
2,961
Reaction score
3,695
1933820_1549250862041575_3959371776108710573_n.jpg
 
Ndivyo inavyotakiwa hivyo..sio unakumbuka kuvaa buti chini tu halafu juu huvai helmet.
 
Teh teh members only ndio na unavyo wakandia wakongwe sijui kama watakuruhusu ufike huko
Mbona nipo sijaona kitu "kikubwa" au cjui milango

Sina bifu na wakongwe bali ni baadhi tu wanaotuzingua kule Chit chat
 
Mbona nipo sijaona kitu "kikubwa" au cjui milango

Sina bifu na wakongwe bali ni baadhi tu wanaotuzingua kule Chit chat
Teh teh ndio maana nikakuambia umewachana wakongwe kabla hujajua viunga vyote vya jamii forum ,kuna mlango wa kuingilia huko kwa wakubwa
 
Teh teh ndio maana nikakuambia umewachana wakongwe kabla hujajua viunga vyote vya jamii forum ,kuna mlango wa kuingilia huko kwa wakubwa
Hahaha..kumbe lkn invisible ananikubali mbona.....me ht nisipofika hilo jukwaa poa tu sipendi kuchekicheki "matuc"...
 
Back
Top Bottom