Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,092
- 53,568
Ticha katoa assignment madogo
wachore mchoro wowote mzuri
kwenye karatasi nyeupe. Baada ya
dakika 6 dogo mmoja akasimama
kumpelekea ticha karatasi
kwamba kamaliza. ticha kucheki
akaona karatasi nyeupe dogo
hajachora kitu. Akamswalika:
Umechora nini?
Dogo: Sir nimechora ngo'ombe
anakula majani.
Ticha: Sasa mbona hakuna majani
hapa?
Dogo: Ng'ombe amekula yote sir!
Ticha: Na ng'ombe mwenyewe
yuko wapi, mbona hakuna?
Dogo: Majani yalivyoisha na
ng'ombe naye akaondoka sir, ndo
maana hamna kitu!
wachore mchoro wowote mzuri
kwenye karatasi nyeupe. Baada ya
dakika 6 dogo mmoja akasimama
kumpelekea ticha karatasi
kwamba kamaliza. ticha kucheki
akaona karatasi nyeupe dogo
hajachora kitu. Akamswalika:
Umechora nini?
Dogo: Sir nimechora ngo'ombe
anakula majani.
Ticha: Sasa mbona hakuna majani
hapa?
Dogo: Ng'ombe amekula yote sir!
Ticha: Na ng'ombe mwenyewe
yuko wapi, mbona hakuna?
Dogo: Majani yalivyoisha na
ng'ombe naye akaondoka sir, ndo
maana hamna kitu!