Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,426
- 18,223
Sijawahi ona timu ya hovyo hivi,wataloga hata kutembea uchi,watasajili bwembwe kukutana na dro ila uwezo mdogo,aibu sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jifunze kwanza kuandika vizuri wewe Bi.Hindu fcSijawahi ona timu ya hovyo hivi,wataloga hata kutembea uchi,watasajili bwembwe kukutana na dro ila uwezo mdogo,aibu sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Jifunze kwanza kuandika vizuri wewe Bi.Hindu fc
Oyaaa Amkeniiii. Amkeniiii. Amkeniiii bwanaaaa. Manduza fc wamefungwa tena bwanaaaa uuuuuuu hahahaaaa
Kabsa ma vyura nimaoga maoga hadi sio powa
Kabsa ma vyura nimaoga maoga hadi sio powa
Simba genge la wahuni hakuna team paleHatimae chura amkimbia Simba, hili timu la GSM limeogopa kichapo toka simba baada ya kubahatisha droo na simba
Sent using Jamii Forums mobile app
Chief coach Luc aliwaambia wachezaji tunarudi Dar kesho sasa ulitaka wachezaji washinde..kabla ya tarehe 16 na Kagera sugar anataka kuwafahamu wachezaji
Hivi hakutakuwa na mshindi wa tatu, yaani Simba nao wakidundwa wanakutana kutafuta mshindi wa tatu ama?Mi nimeshangaa sana yaani match ile walionyesha kabisa kuwa hawakuwa tayari kufuzu kwa kuogopa kukutana na simba