Kichaa Msafi JF-Expert Member Joined Dec 26, 2017 Posts 1,090 Reaction score 2,141 Oct 19, 2018 #261 ahsante mkuu naifurahia sana hii hadithi
Licking Wounds JF-Expert Member Joined Nov 28, 2014 Posts 4,519 Reaction score 6,151 Oct 19, 2018 #262 Pamoja sana mkuu blackstarline Weekend ni ndefu,jitahidi kwa uwezo wako kutupia za kutosha! Nilikisoma kitabu hiki zamani lakini sijui kilipotelea wapi hivyo ninavyokirudia hapa ninakumbuka mbali mno
Pamoja sana mkuu blackstarline Weekend ni ndefu,jitahidi kwa uwezo wako kutupia za kutosha! Nilikisoma kitabu hiki zamani lakini sijui kilipotelea wapi hivyo ninavyokirudia hapa ninakumbuka mbali mno
Tresor Mandala JF-Expert Member Joined Aug 20, 2010 Posts 43,251 Reaction score 90,445 Oct 19, 2018 #263 Mambo yamepamba moto, blackstarline leta mambo
hearly JF-Expert Member Joined Jun 19, 2014 Posts 51,590 Reaction score 73,954 Oct 20, 2018 #264 twaweza kusema KUMEKUCHA ... mkuu mwaga mambo nina kiu na hamu kubwa mnoo yakumsoma umslopagaas anavyo litembeza shoka lake
twaweza kusema KUMEKUCHA ... mkuu mwaga mambo nina kiu na hamu kubwa mnoo yakumsoma umslopagaas anavyo litembeza shoka lake
Vi rendra JF-Expert Member Joined Sep 11, 2017 Posts 3,272 Reaction score 5,631 Oct 20, 2018 #265 Baada ya hayo sijui yaliyotokea, maana sikuweza kuvumilia zaidi
Tresor Mandala JF-Expert Member Joined Aug 20, 2010 Posts 43,251 Reaction score 90,445 Oct 21, 2018 #266 Vi rendra said: Baada ya hayo sijui yaliyotokea, maana sikuweza kuvumilia zaidi Click to expand... Muandishi mchochezi Sana
Vi rendra said: Baada ya hayo sijui yaliyotokea, maana sikuweza kuvumilia zaidi Click to expand... Muandishi mchochezi Sana
Vi rendra JF-Expert Member Joined Sep 11, 2017 Posts 3,272 Reaction score 5,631 Oct 21, 2018 #267 mtu chake said: Muandishi mchochezi Sana Click to expand... makumazahn hafai
Tresor Mandala JF-Expert Member Joined Aug 20, 2010 Posts 43,251 Reaction score 90,445 Oct 21, 2018 #268 Vi rendra said: makumazahn hafai Click to expand... Hahahaha
The Happiness JF-Expert Member Joined Aug 21, 2018 Posts 6,990 Reaction score 45,415 Oct 21, 2018 #269 Mkuu usitusahau, tafadhali
Tresor Mandala JF-Expert Member Joined Aug 20, 2010 Posts 43,251 Reaction score 90,445 Oct 21, 2018 #270 The Happiness said: Mkuu usitusahau, tafadhali Click to expand... Halafu Leo week end na zimebaki sura chache tu ,km vipi mkuu blackstarline Leo malizia yote
The Happiness said: Mkuu usitusahau, tafadhali Click to expand... Halafu Leo week end na zimebaki sura chache tu ,km vipi mkuu blackstarline Leo malizia yote
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 167,107 Reaction score 185,387 Oct 21, 2018 #271 Safi sana... Cc: mahondaw
Victor Bravo JF-Expert Member Joined Sep 20, 2016 Posts 264 Reaction score 241 Oct 21, 2018 #272 Mkuu kakimbiia
ulaya12 JF-Expert Member Joined Nov 16, 2017 Posts 834 Reaction score 908 Oct 21, 2018 #273 hivi vitabu hivi ninaweza nikavipata wapi
The Happiness JF-Expert Member Joined Aug 21, 2018 Posts 6,990 Reaction score 45,415 Oct 22, 2018 #274 mtu chake said: Halafu Leo week end na zimebaki sura chache tu ,km vipi mkuu blackstarline Leo malizia yote Click to expand... Hatimae, Mkuu katulaza njaa😥😥😥
mtu chake said: Halafu Leo week end na zimebaki sura chache tu ,km vipi mkuu blackstarline Leo malizia yote Click to expand... Hatimae, Mkuu katulaza njaa😥😥😥
hearly JF-Expert Member Joined Jun 19, 2014 Posts 51,590 Reaction score 73,954 Oct 22, 2018 #275 The Happiness said: Hatimae, Mkuu katulaza njaa😥😥😥 Click to expand... Aisee
Victor Bravo JF-Expert Member Joined Sep 20, 2016 Posts 264 Reaction score 241 Oct 22, 2018 #276 The Happiness said: Hatimae, Mkuu katulaza njaa Click to expand... Katulaza na njaa katushindisha na njaa mwisho tunaacha kufuatilia hadithi tunakufa
The Happiness said: Hatimae, Mkuu katulaza njaa Click to expand... Katulaza na njaa katushindisha na njaa mwisho tunaacha kufuatilia hadithi tunakufa
The Happiness JF-Expert Member Joined Aug 21, 2018 Posts 6,990 Reaction score 45,415 Oct 22, 2018 #277 Victor Bravo said: Katulaza na njaa katushindisha na njaa mwisho tunaacha kufuatilia hadithi tunakufa Click to expand... dooh
Victor Bravo said: Katulaza na njaa katushindisha na njaa mwisho tunaacha kufuatilia hadithi tunakufa Click to expand... dooh
The Happiness JF-Expert Member Joined Aug 21, 2018 Posts 6,990 Reaction score 45,415 Oct 22, 2018 #278 hearly said: Aisee Click to expand... Yani acha tu,
Licking Wounds JF-Expert Member Joined Nov 28, 2014 Posts 4,519 Reaction score 6,151 Oct 22, 2018 #279 Mkuu blackstarline
Born Star JF-Expert Member Joined Oct 24, 2011 Posts 365 Reaction score 257 Oct 22, 2018 #280 Mkuu tuonee huruma tumeshakuwa waraibu wa simulizi hii