Naona umeweka Kambi kanisa kwenye huu ulimwemgu wa watu wabayashukran mkuu
Pole mkuuNimechanganya nadhani mambo mengi kichwani
nilikuwa napita kwa kuweka likes tu ila uzalendo umenishinda dNaona umeweka Kambi kanisa kwenye huu ulimwemgu wa watu wabaya
Akiweka unishtue tupate kipande kimoja Cha kulalianilikuwa napita kwa kuweka likes tu ila uzalendo umenishinda d
Mh kwa saa hizi nadhani tulale tu hapa ni bilabilaAkiweka unishtue tupate kipande kimoja Cha kulalia
Haaaa!!! Kumbe hakutupia ina maana Leo tunapata viwili eti eeeMh kwa saa hizi nadhani tulale tu hapa ni bilabila
Subutuuu kimoja tuHaaaa!!! Kumbe hakutupia ina maana Leo tunapata viwili eti eee
AtatufikiriaaSubutuuu kimoja tu
Njooo huku tayari Cha mchana kimeiva, labda tusubiri neema ya Mungu tutapata Cha usikuPole mkuu
leo asitulaze njaa banaShukrani mkuuu, naamini hiki ni Cha Jana, Bado cha Leo maana Jana tumelala njaa
Hebu mshawishi unashidwajee??leo asitulaze njaa bana
hahahaa ngoja nimfate pmHebu mshawishi unashidwajee??
Ewaaa ukishamfuata na Mimi niite najua halitaharibika jambohahahaa ngoja nimfate pm